Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa sasa United ina hutaj makombe, mbona pep ka kaa miaka mi tatu kabeba makombe na ana ondoka

Na hii ina fanya tim ina rithiwa na kocha mzur pia
 
f7c8f78e19eca9d2a83e4f866ccb0e72.jpg


Line-ups

West Ham
1Randolph
30Antonio
2Reid
21Ogbonna
3Cresswell
28Lanzini
8Kouyaté
16Noble
27Payet
15Sakho
9Carroll

Substitutes
5Tomkins
11E Valencia
14Obiang
19Collins
20Moses
29Emenike
34Spiegel
*****

Man Utd
1de Gea
25A Valencia
12Smalling
17Blind
5Rojo
28Schneiderlin
8Mata
21Herrera
10Rooney
9Martial
39Rashford

Substitutes

4Jones
7Depay
11Januzaj
16Carrick
20Romero
35Lingard
43Borthwick-Jackson

*****
Referee:
Mike Dean
#GGMU
 
Sasa braza, baada ya misimu hiyo mitatu, what next? Kama unataka kusema kwamba baada ya misimu mitatu timu itakaa imara (baada ya kushinda makombe chini ya mpiga domo), una uhakika gani na hilo? Kwanini timu isitafute mchezaji anayeweza kukaa na timu kwa muda mrefu na kujenga filosofia yake?
Pengine nieleweshe, yaani unataka mpiga domo aje kuipa makombe United kisha aondoke zake?
Sasa braza, baada ya misimu hiyo mitatu, what next? Kama unataka kusema kwamba baada ya misimu mitatu timu itakaa imara (baada ya kushinda makombe chini ya mpiga domo), una uhakika gani na hilo? Kwanini timu isitafute mchezaji anayeweza kukaa na timu kwa muda mrefu na kujenga filosofia yake?
Pengine nieleweshe, yaani unataka mpiga domo aje kuipa makombe United kisha aondoke zake?
Sasa braza, baada ya misimu hiyo mitatu, what next? Kama unataka kusema kwamba baada ya misimu mitatu timu itakaa imara (baada ya kushinda makombe chini ya mpiga domo), una uhakika gani na hilo? Kwanini timu isitafute mchezaji anayeweza kukaa na timu kwa muda mrefu na kujenga filosofia yake?
Pengine nieleweshe, yaani unataka mpiga domo aje kuipa makombe United kisha aondoke zake?


Mkuu Nzi,

Unauliza ninauhakika gani kama Mou atabeba makombe na United ndani ya miaka mitatu? Aaah, record zinambeba jamaa. Anzia tangu alipotua pale Darajani, misimu yake mitatu ya awali alikuwa na vikombe vingapi? Timu ilikuwa na nafasi gani kwa mashindano ya kimataifa? Tuje pale kwa kibibi kizee cha Turin, misimu yake mitatu aliyokuwapo pale alichukua vikombe vingapi? Aliichukua timu ikiwa ktk nafasi gani? Haya twende kwa Garatocos alipotua pale alifanya nini ndani ya hiyo misimu mutatu? Haya turudi Darajani, msiimu wake wa kwanza tu pale, alifanya nini?

Nadhani record mbaya ya Chelsea kwa msimu huu haiwezi kamwe kushusha hadhi Mou kwa makocha wa Ulaya. Tena sote tunatambua sababu iliyomfanya Mou kuondoka pale. Mourinho yeye anachohitaji ni fungu litakalomuwezesha kupata wachezaji wazuri. Na ktk kitengo cha usajili Mou yuko Vizuri. Angalia kuanzia kwa Mikel mpaka kwa Hazard. Hawa ni wachezaji waliokuwa halali ya United lakini Mou kupitia Mendes mtu ambaye ni Meneja wake na Meneja wa wachezaji wengi makini walifanya yao na wachezaji hao yukawakosa dk za mwisho.

Halafu pale anapotaka kununua wachezaji, hanunui garasa. Ni mara chache sana hilo limetokea, siyo kama huyu Babu wetu wa sasa...

Hata wachezaji aliowanunua mwenyewe hawaamini. Kwangu mimi binafsi ninaamini Mourinho akitua hapa ndani ya misimu niliyobainisha hapo juu timu aitakaa vyema, si tu kuchukua Makombe lakini timu nzima kwamaana ya Timu. Ukiangalia sasa, timu imekosa Morali yani inaingia mchezoni kanakwamba hawaelewi wanaenda kufanya nini. Mbinu za Babu zimewavuruga wachezaji kiasi mchezaji anayecheza na yule aliyeko benchi wote wako sawa tu kifikra, hakuna anayeifurahia mechi. Haya mambo hayawezi kutokea kwa Special one

BACK TANGANYIKA
 
f7c8f78e19eca9d2a83e4f866ccb0e72.jpg


Line-ups

West Ham
1Randolph
30Antonio
2Reid
21Ogbonna
3Cresswell
28Lanzini
8Kouyaté
16Noble
27Payet
15Sakho
9Carroll

Substitutes
5Tomkins
11E Valencia
14Obiang
19Collins
20Moses
29Emenike
34Spiegel
*****

Man Utd
1de Gea
25A Valencia
12Smalling
17Blind
5Rojo
28Schneiderlin
8Mata
21Herrera
10Rooney
9Martial
39Rashford

Substitutes

4Jones
7Depay
11Januzaj
16Carrick
20Romero
35Lingard
43Borthwick-Jackson

*****
Referee:
Mike Dean
#GGMU
Herrera akianza huwa napata matumaini ,yote juu ya yote all the best my team,wadau mimi nitakuwa nafatilia comment zenu mtoe updates za kutosha......#GGMU
 
Mashabiki wa WHU wamelishambulia bus lililowabeba wachezaji wa UTD na polisi wameingilia kati kutuliza fujo hizo. Kitendo hichi pia kinailazimu mechi kusogezwa mbele mpaka saa nne na nusu
 
Mashabiki wa WHU wamelishambulia bus lililowabeba wachezaji wa UTD na polisi wameingilia kati kutuliza fujo hizo. Kitendo hichi pia kinailazimu mechi kusogezwa mbele mpaka saa nne na nusu
Chakushangaza eti mmiliki wao anawalaumu Manchester badala ya kuwalaumu mashabiki wao,
 
Chakushangaza eti mmiliki wao anawalaumu Manchester badala ya kuwalaumu mashabiki wao,

Tusubiri mwisho wa siku tuone hatua ambayo FA itachukua juu ya hili tukio. Jicho lao sijui litakuwa limeona vipi ila itawacost WHU
 
To be honest, hii game nina zero confidence kabisa, please utd try not to spoil my day.

Let's do it
 
Mashabiki wa Westham ni kama Mashabiki wa Coastal ya Tanga wote wapumbavu

Mkuu kwani vipi tena?

Mi nimeona tu mechi imekuwa postponed mpaka saa nne, sielewi kimetokea nini? Ila leo hata waahirishe mpaka saa tisa, tutakesha tu no matter what lazima tugonge nyundo leo...

Aaaaah GGM naona wanapasha sasa

BACK TANGANYIKA
 
Back
Top Bottom