Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

So far so bad, two matches to go man u tumefunga magoli 44 kati ya mechi 36 tulizocheza hadi sasa, ( amazing) goli tisa tu mbele ya Norwich anaekomaa kutoshuka daraja, msimu wa 2011/12 tulifunga magoli 89 inamaana msimu huu tumefunga nusu,

Toka nimeanza kuipenda Manchester nakumbuka msimu wa 2004/05 ndio msimu ambao tulikua na goli chache sana goli 58, japokua history inaonesha msimu wa 1989/90 tulikua na goli 46 tulimaliza wa 13, mwaka 1988/89 goli 45 tulimaliza wa 11, msimu uliopita tulikua na goli 62.

Game saba tumecheza nyumbani bila goli ( Newcastle, shittty, west ham, Chelsea, soton, PSV, Middles borough)

Game sita za away bila goli ( arsenal, palace, stoke, WBA, spurs, looserfool) jumla utaona tumecheza mechi 13 bila kupata goli lolote, huku tukiwa na namba ndogo sana ya shoot on target ( Ngongo huu ndio mpira wa kushambulia, attacking football unayoitaka?)

Tunaongoza kuwa na clean sheets nyingi kwenye ile top eight si kwa sababu tunadefence nzuri bali ni sababu ya uwepo wa de gea langoni,
AU hii inakuaje? Tunagoli chache na clean sheets nyingi au hii sio defensive football?

Kuna sehemu nilikua nacheki ni timu moja tu toka serie A, EPL na la liga ambayo ilimaliza ndani ya top six ikiwa na goli chini ya 50 ( Villarreal msimu uliopita) ndani ya miaka mitano iliyopita.

Toka primier league ikaanza timu zilizomaliza ndani ya top six na goli pungufu ya 50 ni

Betis '95,
Arsenal '96
Aston Villa '97
West Ham na Mallorca 99
Aston Villa na Alavés '00
Betis in '02, Celta Vigo in '03
Aston Villa, Sampdoria na Palermo '04
Everton, Bolton, Livorno* na Sevilla '05
Celta Vigo na Osasuna 06
Villareal '07
Racing Santander '08
Sampdoria '10
Villareal '15

Sasa ukiangalia kwenye orodha hiyo ukiachana na arsenal ya Bruce, hizi timu zingine zote ni average timu ambazo zilikamua above their weight, and that is the level we've dropped to.

Still watu wanamkataa mou kwamba hana attacking football, is this an attacking football tunayoitaka?

Ngongo


Mkuu herrera kwanza ni lazima ufahamu kipa ni sehemu ya wachezaji so David de Gea ni mchezaji wa Man Utd.Pili unatakiwa ukubali mchango wa Van Gaal wa kumbakiza de Gea kikosi wakati Real walipokuwa wanamyemelea kwa kasi ya ajabu.Pili fahamu ni Van aliyecheza karata ya kumsignisha mkataba mrefu ambao kama Real watamtaka itabidi wavunje kibubu.

So far Man imebakiza mechi mbili ambazo tukishinda zote tuna uhakika na nafasi ya nne (it's within our reach) na usisahau FA Cup tuna nafasi kubwa pia.

Nakubaliana na wewe msimu huu tumefunga goli chahche sana,lakini tunasahau msimu uliopita mashabiki wengi walikuwa wakipiga kelele Rooney aongoze safu ya ushambuliaji bahati mbaya kiwango chake msimu huu kilitetereka sana na pai kuumia hilo si kosa la kocha bali hiyo ni sehemu ya mpira wakati mwingine unawaza hivi matokeo yanakuwa tofauti.

Tukubaliane majeruhi wengi walichangia timu kutetereka sana,bahati mbaya hilo halisemwi sana hasa na vyombo vya habari vya UK ambao ajenda yao kubwa ilikuwa ni ku attack mikakati yote ya Van Gaal.Mfano vyombo vingi vya habari vya UK vimekuwa mstari wa mbele kumponda Van Gaal katumia 250 million lakini havisemi kauza wachezaji wangapi ?.Ni kwanini hawasemi 250 less wachezaji aliwauza na wengine waliondolewa kwenye payroll ?Fedha kiasi gani zilipatika kwa mauzo ya Di Maria,Fletcher,Chicharito,Rafael,Nani,Kagawa,Evans,Welbeck & Cleverley.

Mashabiki wa Mourinho wanasahau mafanikio yote aliyopata Chelsea yalitengenezwa na Ranieri ambaye kaonyesha kipaji cha hali ya juu kwa kuchukua ubingwa kwa bajeti ndogo sana.Nauliza Mourinho alipokuwa Spain alitawala ligi ya kule alichukua vikombe mara ngapi ?.
 
Mkuu herrera kwanza ni lazima ufahamu kipa ni sehemu ya wachezaji so David de Gea ni mchezaji wa Man Utd.Pili unatakiwa ukubali mchango wa Van Gaal wa kumbakiza de Gea kikosi wakati Real walipokuwa wanamyemelea kwa kasi ya ajabu.Pili fahamu ni Van aliyecheza karata ya kumsignisha mkataba mrefu ambao kama Real watamtaka itabidi wavunje kibubu.

So far Man imebakiza mechi mbili ambazo tukishinda zote tuna uhakika na nafasi ya nne (it's within our reach) na usisahau FA Cup tuna nafasi kubwa pia.

Nakubaliana na wewe msimu huu tumefunga goli chahche sana,lakini tunasahau msimu uliopita mashabiki wengi walikuwa wakipiga kelele Rooney aongoze safu ya ushambuliaji bahati mbaya kiwango chake msimu huu kilitetereka sana na pai kuumia hilo si kosa la kocha bali hiyo ni sehemu ya mpira wakati mwingine unawaza hivi matokeo yanakuwa tofauti.

Tukubaliane majeruhi wengi walichangia timu kutetereka sana,bahati mbaya hilo halisemwi sana hasa na vyombo vya habari vya UK ambao ajenda yao kubwa ilikuwa ni ku attack mikakati yote ya Van Gaal.Mfano vyombo vingi vya habari vya UK vimekuwa mstari wa mbele kumponda Van Gaal katumia 250 million lakini havisemi kauza wachezaji wangapi ?.Ni kwanini hawasemi 250 less wachezaji aliwauza na wengine waliondolewa kwenye payroll ?Fedha kiasi gani zilipatika kwa mauzo ya Di Maria,Fletcher,Chicharito,Rafael,Nani,Kagawa,Evans,Welbeck & Cleverley.

Mashabiki wa Mourinho wanasahau mafanikio yote aliyopata Chelsea yalitengenezwa na Ranieri ambaye kaonyesha kipaji cha hali ya juu kwa kuchukua ubingwa kwa bajeti ndogo sana.Nauliza Mourinho alipokuwa Spain alitawala ligi ya kule alichukua vikombe mara ngapi ?.
Mkuu labda tuzungumzie kuhusu kuwatoa wachezaji kwenye payroll, lakini suala la transfer market tupo hovyo sana, tunanunua wachezaji kwa bei mbaya na kuwauza kwa hela ya nyanya,

Tumetumia £250+ mill ila tuliowauza haizidi £35 mill

Nani 4 mill
Rvp 3.85
Rafael 2.10
Cleverly free
Fletcher free n.k hizo ndio bei tunazouzia,

Kuhusu mou kwamba mafanikio aliyoyapata Chelsea timu ilijengwa na ranier it might be true, but vipi kuhusu timu zingine anazofundisha?

Katika misimu mitatu ya Madrid, Madrid ya mou iliongoza kwa magoli dhidi ya barca kwa misimu miwili mfululizo, msimu wake wa kwanza alipigwa tano na barca nou camp, alipoteza nusu final, ila alichukua CDR mbele ya barca,

Msimu wa pili walichukua la liga ila walipoteza CDR, wakati wanachukua la liga waliweka record ya kuchukua ubingwa kwa point nyingi, hata Chelsea yake ilifanya hivo. Chelsea msimu uliopita iliitandika Swansea goli tano, sina kumbukumbu kama kuna mechi timu ya van gaal ilimpiga mtu hizo goli.

Mou kachukua ubingwa Mara 8, katika vilabu na nchi 4 tofauti ndani ya miaka 13 iliyopita, unaikumbuka inter yake iliyochukua treble? Kwenye CL iliitandika barca ya pep, ikaitandika na bayern, ana champions league 2 na dozen ya makombe mengine ya mbuzi, kuharibu kwa mou miezi sita sidhani kama ni guarantee ya kusahau CV yake Mkuu.
 
Mkuu labda tuzungumzie kuhusu kuwatoa wachezaji kwenye payroll, lakini suala la transfer market tupo hovyo sana, tunanunua wachezaji kwa bei mbaya na kuwauza kwa hela ya nyanya,

Tumetumia £250+ mill ila tuliowauza haizidi £35 mill

Nani 4 mill
Rvp 3.85
Rafael 2.10
Cleverly free
Fletcher free n.k hizo ndio bei tunazouzia,

Kuhusu mou kwamba mafanikio aliyoyapata Chelsea timu ilijengwa na ranier it might be true, but vipi kuhusu timu zingine anazofundisha?

Katika misimu mitatu ya Madrid, Madrid ya mou iliongoza kwa magoli dhidi ya barca kwa misimu miwili mfululizo, msimu wake wa kwanza alipigwa tano na barca nou camp, alipoteza nusu final, ila alichukua CDR mbele ya barca,

Msimu wa pili walichukua la liga ila walipoteza CDR, wakati wanachukua la liga waliweka record ya kuchukua ubingwa kwa point nyingi, hata Chelsea yake ilifanya hivo. Chelsea msimu uliopita iliitandika Swansea goli tano, sina kumbukumbu kama kuna mechi timu ya van gaal ilimpiga mtu hizo goli.

Mou kachukua ubingwa Mara 8, katika vilabu na nchi 4 tofauti ndani ya miaka 13 iliyopita, unaikumbuka inter yake iliyochukua treble? Kwenye CL iliitandika barca ya pep, ikaitandika na bayern, ana champions league 2 na dozen ya makombe mengine ya mbuzi, kuharibu kwa mou miezi sita sidhani kama ni guarantee ya kusahau CV yake Mkuu.

Mkuu herrera fedha za Di Maria haijaziweka ni maksudi au bahati mbaya ?.
 
Van Gaal mwenyewe yupo kwenye wakati mgumu maana tusipoingia UCL anakatwa karibu nusu ya mshahara,tukipata FA cup at least itamuongezea ahueni.

Yote juu ya yote ni kocha mzuri sana but yupo kikayumba sana wakati siku hizi ni mambo ya saint May . Mimi kwangu I prefer mostly magoli na makombe kwa sana tu, siku hizi unatizama mechi huku uko chini ya uvungu na live goal score Yako ukiona goal ndo unaibuka na makelele kibao

Sijui aje nani ila tunahitaji kocha mwingine mzuri zaidi yake kocha wa kisaint May zaidi .


Nimecheka sana asee....Eti unasema? uko uvunguni na Livescore?
 
Nasubiria nisikie Mourinho katangazwa kuwa kocha ili nika renew membership card yangu ili nianze tena kwenda uwanjani..
Kiukweli tunahitaji kushinda kombe kubwa ili kurudi Kwneye hadhi yetu.
 
LVG: Points before a party

"Tuesday we have to play against an opponent who says goodbye to the stadium. So they won't want to lose in their own stadium.
They have already lost to Man United in the FA Cup match. That is also history. That is not good for us. And West Ham United is a very good
team.
We have a lot of respect for West Ham. I think it is a historical big club in England and so we don't want to spoil their party but we need the three points and that is different."
 
Dah Woodward unazengua Hummels uliishia tetesi tu Renato Sanches dogo wa Benefica ukatuaminisha end of season sasa naona Bayern waishajibebea tu wachezaji wote...hivi MUFC itakua timu ya kupoint wachezaji mpk lini
 
Babu anatakiwa kuondoka haraka sana mara baada ya msimu huu kumalizika.

No matter what, kachukua FA au kaingiza timu UCL, Hatufai amesha-prove uwezo wake mdogo ktk ufundishaji kwa miaka ya leo. Kitu kibaya kwa kizazi cha sasa hakitaki historia, ndiomaana Arsene anapigiwa kelele pale Emirates bila kujali kikosi chake cha Invisible huko nyuma. Historia imeshindwa kumbeba Mou pale Darajani mpaka kuondolewa licha ya mafanikio makubwa aliyoyapata huko nyuma yaliyomfanya kuimbwa na Mashabiki na wachezaji wa timu hiyo.

Timu ya sasa ya United inamtaka kocha kama Mou angalau kwa misimu mitatu. Timu imejaa wachezaji wavivu na goigoi wasiojua thamani yano na Timu uwanjani. Falsafa Mourinho ktk kufundisha soka haitofautiani sana na SAF ingawaje babu alikuwa akipenda kwenda na washambuliaji wawili ilhali Mou anacheza na mshambuliaji mmoja. Lakini ukija kwenye hamasa ya Timu, Usiriasi na Management hawa watu hawatofautiani.

Ktk miaka yake 26 pale OT hakuna mchezaji aliyewahi kujiona yuko juu ya SAF au Timu. Kila mmoja alitimiza wajibu wake itakiwavyo. Asiyetaka kuendana na Timu au kocha alifurushwa...!!! Hivyo ndivyo alivyo Mou. Tatizo moja tu lililoko bayana kwa Mou, ni kushindwa kulea Vipaji vinavyotengenezwa na Timu, yeye anataka wachezaji ambao wako tayari kwa Mapambano. Lakini sisi hatumtaki Mou kama kocha wa Kudumu, hapana. Sisi tunamtaka yeye ili kuturudishia heshima iliyopotea kwa miaka minne sasa inaenda tangu kustaafu kwa Babu pale OT. Tunaamini kwa nguvu zote kazi hii Mou anaiweza

Tumpe nafasi.

BACK TANGANYIKA
 
west-ham-manchester-united-man-utd-live-sky-badges-graphic_3463678.jpg


Ukitoa FA Cup final, kwa msimu huu hii ndio mechi muhimu sana kwetu. Natumaini tutashinda.
 
sie tunasajiligi kwa tetesi tushazoea

yani hovyo kabisa dirisha lilikaribia kufungwa ndo tunakimbilia michezaji ya hovyo halafu saiv man utd itapata tabu sana kusajili mana wanajua tunataka wachezaji wa viwango bei zao zitakuwa kali sana huyo renato man alikuwa anamtaka tukatajiwa euro 45 had 50 wakat bavaria wamempata kwa 28 nakumbuka vidal ilikuwa hivyo hivyo bavaria wakampata kiurahis sana hata kiuhalisia bei ya martial ilikuwa kali sna ile ilikuwa ni risk ila bahat nzur kafanikiwa tuombe mungu aendelee ni hii fom yake
 
Timu ya sasa ya United inamtaka kocha kama Mou angalau kwa misimu mitatu.

BACK TANGANYIKA
Sasa braza, baada ya misimu hiyo mitatu, what next? Kama unataka kusema kwamba baada ya misimu mitatu timu itakaa imara (baada ya kushinda makombe chini ya mpiga domo), una uhakika gani na hilo? Kwanini timu isitafute mchezaji anayeweza kukaa na timu kwa muda mrefu na kujenga filosofia yake?
Pengine nieleweshe, yaani unataka mpiga domo aje kuipa makombe United kisha aondoke zake?
 
Back
Top Bottom