Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jamani washabiki wenzangu

Ni bora tuwe na Van Gaal na tukiwa UCL

Au tukose na mourinho aje!!??

Eb tutoe mawazo
 
Jamani washabiki wenzangu

Ni bora tuwe na Van Gaal na tukiwa UCL

Au tukose na mourinho aje!!??

Eb tutoe mawazo

Kwanza kabisa tuanzie na kukuuliza Do you really belong to MUFC community??? Maana nahisi kama unatumock tu hapa.
 
Jamani washabiki wenzangu

Ni bora tuwe na Van Gaal na tukiwa UCL

Au tukose na mourinho aje!!??

Eb tutoe mawazo
Van Gaal mwenyewe yupo kwenye wakati mgumu maana tusipoingia UCL anakatwa karibu nusu ya mshahara,tukipata FA cup at least itamuongezea ahueni.

Yote juu ya yote ni kocha mzuri sana but yupo kikayumba sana wakati siku hizi ni mambo ya saint May . Mimi kwangu I prefer mostly magoli na makombe kwa sana tu, siku hizi unatizama mechi huku uko chini ya uvungu na live goal score Yako ukiona goal ndo unaibuka na makelele kibao

Sijui aje nani ila tunahitaji kocha mwingine mzuri zaidi yake kocha wa kisaint May zaidi .
 
RRONDO
Nzi
everlenk
Hongereni sana kwa kucheza CL,majirani wenu hawana team msimu huu na wanastahili kucheza YUROPA!

MAJOGOO siku nyingi yapo CL na tunaingia moja kwa moja kwenye makundi,nyie mtaanzia kwenye mtoano na mnaweza pangiwa na Red Brigade ya Yugoslavia ya zamani ya wajamaa ikawa kazi ngumu ehehehehe

Nani hapa sasa anapenda akutane na MAJOGOO?
 
Arsenal ameshatufanyia kazi. Kazi iliobaki ni kushinda mechi zote mbili tushirik champion leagau
Mkuu hizi mechi mbili kuingia top four ni mpaka tushinde mechi ya jumanne vs West Ham na sio kutoa draw au man city apate draw mechi yake ya mwisho na sisi tushinde moja na draw moja tutakuwa tumefikisha point amabazo city hawez zifikia lasivyo safar yetu ni Europa
 
Mkuu hata tukishinda hizo mechi mbili kuingia top four ni mpaka man city apoteze au kutoa draw mechi yake iliyobaki ...akishinda mechi yake iliyobaki matumaini ya kumake top four yatakuwa yameishia hapo ...maana city ana GD kubwa..tutakuwa nae sawa kipoint ila atatuzidi GD..
Ndio maana nikasema kazi iliobaki ni kushinda mechi zote mbili zilizobaki . tukishinda hizo mechi ajilishi city ashinde au atoe droo
 
Mkuu hata tukishinda hizo mechi mbili kuingia top four ni mpaka man city apoteze au kutoa draw mechi yake iliyobaki ...akishinda mechi yake iliyobaki matumaini ya kumake top four yatakuwa yameishia hapo ...maana city ana GD kubwa..tutakuwa nae sawa kipoint ila atatuzidi GD..
Sis tuna Game mbili yeye ana moja ya mwisho hata akishinda na sisi tukishinda zote tutamzidi point 1
 
RRONDO
Nzi
everlenk
Hongereni sana kwa kucheza CL,majirani wenu hawana team msimu huu na wanastahili kucheza YUROPA!

MAJOGOO siku nyingi yapo CL na tunaingia moja kwa moja kwenye makundi,nyie mtaanzia kwenye mtoano na mnaweza pangiwa na Red Brigade ya Yugoslavia ya zamani ya wajamaa ikawa kazi ngumu ehehehehe

Nani hapa sasa anapenda akutane na MAJOGOO?


Kwani kishabeba kombe? Sevilla una unamuona kibua
 
Sevilla ana record nzuri sana na hii michuano kwa miaka hii miwili iliyopita...amebeba hili kombe mara zote alizofika final
Klopp kishapoteza fainali ya kwanza mbele ya city anaempigaga rondo aweke akiba ya maneno sevilla sio timu nyepes hata kidogo nao wanaitolea macho hii nafas ili waende ucl.
 
So far so bad, two matches to go man u tumefunga magoli 44 kati ya mechi 36 tulizocheza hadi sasa, ( amazing) goli tisa tu mbele ya Norwich anaekomaa kutoshuka daraja, msimu wa 2011/12 tulifunga magoli 89 inamaana msimu huu tumefunga nusu,

Toka nimeanza kuipenda Manchester nakumbuka msimu wa 2004/05 ndio msimu ambao tulikua na goli chache sana goli 58, japokua history inaonesha msimu wa 1989/90 tulikua na goli 46 tulimaliza wa 13, mwaka 1988/89 goli 45 tulimaliza wa 11, msimu uliopita tulikua na goli 62.

Game saba tumecheza nyumbani bila goli ( Newcastle, shittty, west ham, Chelsea, soton, PSV, Middles borough)

Game sita za away bila goli ( arsenal, palace, stoke, WBA, spurs, looserfool) jumla utaona tumecheza mechi 13 bila kupata goli lolote, huku tukiwa na namba ndogo sana ya shoot on target ( Ngongo huu ndio mpira wa kushambulia, attacking football unayoitaka?)

Tunaongoza kuwa na clean sheets nyingi kwenye ile top eight si kwa sababu tunadefence nzuri bali ni sababu ya uwepo wa de gea langoni,
AU hii inakuaje? Tunagoli chache na clean sheets nyingi au hii sio defensive football?

Kuna sehemu nilikua nacheki ni timu moja tu toka serie A, EPL na la liga ambayo ilimaliza ndani ya top six ikiwa na goli chini ya 50 ( Villarreal msimu uliopita) ndani ya miaka mitano iliyopita.

Toka primier league ikaanza timu zilizomaliza ndani ya top six na goli pungufu ya 50 ni

Betis '95,
Arsenal '96
Aston Villa '97
West Ham na Mallorca 99
Aston Villa na Alavés '00
Betis in '02, Celta Vigo in '03
Aston Villa, Sampdoria na Palermo '04
Everton, Bolton, Livorno* na Sevilla '05
Celta Vigo na Osasuna 06
Villareal '07
Racing Santander '08
Sampdoria '10
Villareal '15

Sasa ukiangalia kwenye orodha hiyo ukiachana na arsenal ya Bruce, hizi timu zingine zote ni average timu ambazo zilikamua above their weight, and that is the level we've dropped to.

Still watu wanamkataa mou kwamba hana attacking football, is this an attacking football tunayoitaka?

Ngongo
 
So far so bad, two matches to go man u tumefunga magoli 44 kati ya mechi 36 tulizocheza hadi sasa, ( amazing) goli tisa tu mbele ya Norwich anaekomaa kutoshuka daraja, msimu wa 2011/12 tulifunga magoli 89 inamaana msimu huu tumefunga nusu,

Toka nimeanza kuipenda Manchester nakumbuka msimu wa 2004/05 ndio msimu ambao tulikua na goli chache sana goli 58, japokua history inaonesha msimu wa 1989/90 tulikua na goli 46 tulimaliza wa 13, mwaka 1988/89 goli 45 tulimaliza wa 11, msimu uliopita tulikua na goli 62.

Game saba tumecheza nyumbani bila goli ( Newcastle, shittty, west ham, Chelsea, soton, PSV, Middles borough)

Game sita za away bila goli ( arsenal, palace, stoke, WBA, spurs, looserfool) jumla utaona tumecheza mechi 13 bila kupata goli lolote, huku tukiwa na namba ndogo sana ya shoot on target ( Ngongo huu ndio mpira wa kushambulia, attacking football unayoitaka?)

Tunaongoza kuwa na clean sheets nyingi kwenye ile top eight si kwa sababu tunadefence nzuri bali ni sababu ya uwepo wa de gea langoni,
AU hii inakuaje? Tunagoli chache na clean sheets nyingi au hii sio defensive football?

Kuna sehemu nilikua nacheki ni timu moja tu toka serie A, EPL na la liga ambayo ilimaliza ndani ya top six ikiwa na goli chini ya 50 ( Villarreal msimu uliopita) ndani ya miaka mitano iliyopita.

Toka primier league ikaanza timu zilizomaliza ndani ya top six na goli pungufu ya 50 ni

Betis '95,
Arsenal '96
Aston Villa '97
West Ham na Mallorca 99
Aston Villa na Alavés '00
Betis in '02, Celta Vigo in '03
Aston Villa, Sampdoria na Palermo '04
Everton, Bolton, Livorno* na Sevilla '05
Celta Vigo na Osasuna 06
Villareal '07
Racing Santander '08
Sampdoria '10
Villareal '15

Sasa ukiangalia kwenye orodha hiyo ukiachana na arsenal ya Bruce, hizi timu zingine zote ni average timu ambazo zilikamua above their weight, and that is the level we've dropped to.

Still watu wanamkataa mou kwamba hana attacking football, is this an attacking football tunayoitaka?

Ngongo
Ukweli mtupu
 
Tunaongoza kuwa na clean sheets nyingi kwenye ile top eight si kwa sababu tunadefence nzuri bali ni sababu ya uwepo wa de gea langoni,
AU hii inakuaje? Tunagoli chache na clean sheets nyingi au hii sio defensive football?
Doh! Kwa hiyo anachofanya kipa katika kulinda goli wewe unaona siyo sehemu ya defense? Hata golikipa anavyoitwa mlinda mlango wa goli hufahamu?
Kaka, naelewa your 'frustrations' lakini jaribu kuwa objective na realistic kidogo. Nimesema humu na wadau wengi wamesema, kwamba siyo kazi ndogo kwa timu kutulia baada ya kocha aliyekaa na timu kwa miaka 26 kuondoka. Umekuwa ukitolea mifano ya timu mbalimbali, lakini sijaona ukitolea mfano wa timu ambayo ilikuwa na kocha mmoja kwa miaka 20+ na jinsi ilivyoweza kufanya baada ya kocha kuondoka.
 
Doh! Kwa hiyo anachofanya kipa katika kulinda goli wewe unaona siyo sehemu ya defense? Hata golikipa anavyoitwa mlinda mlango wa goli hufahamu?
Kaka, naelewa your 'frustrations' lakini jaribu kuwa objective na realistic kidogo. Nimesema humu na wadau wengi wamesema, kwamba siyo kazi ndogo kwa timu kutulia baada ya kocha aliyekaa na timu kwa miaka 26 kuondoka. Umekuwa ukitolea mifano ya timu mbalimbali, lakini sijaona ukitolea mfano wa timu ambayo ilikuwa na kocha mmoja kwa miaka 20+ na jinsi ilivyoweza kufanya baada ya kocha kuondoka.
Chief nilichoongea hapo ilikua ni kuhusu ile kauli ya Ngongo kwamba kitu kikubwa asichompendea mou ni ile falsafa yake ya kujilinda sana ( defensive football) sasa ndio nikauliza inakuaje tunakua na clean sheet nyingi huku tukiwa na goli chache? Hii sio defensive football?

Pia sikatai club kuwa katika kipindi cha mpito hasa ikiondokewa na kocha wa muda mrefu na mkongwe kama babu, lakini kuna mambo ambayo van gaal anayafanya seriously kila mtu hata nisiyejua mpira najiuliza how comes? Msimu huu tulianza ligi tukiwa na akina Wilson na will Kean wakiwa kama back up ya Rooney, martial na depay on the flanks, ( achana na young ambaye Mara achezeshwe kama beki Mara kama striker)

Morgan kipindi yupo soton alikua vizuri mnoo, wengi tuliamini ndio atakua regular starter pale kati, cha ajabu akaishia benchi huku akiutumia partnership ya Bastian na carrick ( old and slow partnership) iliyotupa matokeo mengi ya droo. Huku morgan akizidi kupoteza confidence day after day hadi kufikia kutemwa na timu yake ya taifa.
 
Back
Top Bottom