Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Via TOP FOUR tunaisaka kwa spot light kwiiiii kwiiiii sisi ndio sisi wengine....!
ImageUploadedByJamiiForums1460311725.226003.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1460311745.664467.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1460311772.815726.jpg

Tupeane ratiba ya mazishi waungwana maana majirani ni kisaidiana kwenye shida na raha.
 
Van Gaal leo alikuwa spot on na tactics zake, injury ya Mensah ndo iliharibu kila kitu, na hilo siyo kosa la LVG..

Hata angemwingiza Herrera au mchezaji yoyote mwingine, isingesaidia kitu, coz kulia kule kulikuwa kushaharibika..Darmian ndo alikuwa weak link, na nilikwambiaga Nzi kuwa Darmian ni pub defender, 2 goals zote zimetokana na poor marking yake..hayo siyo makosa ya Van Gaal

LVG gets stuff wrong at times, lakin kwa leo hakuwa at fault, reds wenzako wanatakiwa kupunguza kumscapegoat jamaa kwenye games ambazo uzembe ni wa wachezaji wenyewe.
Kweli. Dogo Mensah alivyotoka tu, Spuds ndiyo wakapata nafasi. Na kudos kwa kocha wao kwa ku-spot udhaifu wa Darmian na ku-capitalise kwenye hilo.
 
Doh! Kwa hiyo Sunderland wanacheza vizuri kuliko United?
wanajituma sana ila awana uwezo...United wachezaji hawajitumi angalia goal la kwanza leo au la pili ni uvivu wa wachezaji ndio umesababisha kufungwa
 
Kaka hivyo ni visingizio tu and in short ManU timu mbovu kocha mbovu
Braza ni kisingizio kivipi wakati baada ya Mensah kuumia goli zote tatu zimetokea alipokuwa? Na hadi anatoka dogo alikuwa amefanya 100% clearances...hivyo chances za yeye kuzuia crosses na foul zilizosababisha magoli zilikuwa kubwa kutokana na alivyocheza kabla.

Ingawa ni kweli kwamba hapa naongea kwa kufikirika zaidi.
 
Back
Top Bottom