Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

London naona wameleta fitna...United walichelewa kwenye foleni kwa masaa 2, hivyo hata muda wa warm up ulipunguzwa..
 
Mngewahi kutoka...
Unajielewa kweli braza? Delay ya masaa 2, inamaana timu ilikuwa imewahi masaa 2 kabla. Sasa ulitaka wawahi kutoka kivipi tena? Hiyo delay ilikuwa ni unexpected! Pengine jiji la London wamefanya fitna ili kuisadia Spurs kwenye title race.

Kick off..
 
Delle Alli...sisemi sana. Bado dk 20 huenda zikawa 2 - 0
 
Yaani toka dogo Mensah atoke...kulia kumekuwa uchochoro...game over...good try Spuds, but you will never win the league
 
Duuuuuh kweli raha...zinarudi au hazirudi.


Futuhi Mensah huko aliko anafurahia sana yani..dalili aliziona mapemaaaa akaona aepushe aibu tu.
 
Back
Top Bottom