Mtani ratiba yako ya kuonekana jukwaani nimeipendaDeal closed with Everton......safari hii tumewaweza nje ndani tumewapiga......last time walituonea sana Hawa......Thank you Man United.....GGMU
Mtani ratiba yako ya kuonekana jukwaani nimeipenda
ungependa abadiliashe?Tuombe uzima tu ili tushuhudieMkuu hii si ndoto
Rooney anajua kucheza mpira hatuwezi kumueeka nje ya united legend na bado yuko mzima
Apart from the class of 92 ni world class player gani ambae academy yetu imeweza kuzalisha? ukiachana na pogba ambaye hatujamfaidi.Nafikiri kauli za MOU kutokuza vipaji vya watoto ni world wide na yeye ameshaisikia na kinachomtenganisha MUFC na yeye ni hiyo philosophy...lakini tukumbuke pamoja na mafanikio aliyonayo ila this time Mou hana bargaining power kama hapo zamani yupo tayari kuabandon his old philosophy ili mradi tu atue kwenye his dream team of all times...
Na tukumbuke kila team inasera zake husipozifata huwezi dumu...it's Manchester style kuibua watoto even Mou knows that..
Apart from the class of 92 ni world class player gani ambae academy yetu imeweza kuzalisha? ukiachana na pogba ambaye hatujamfaidi.
Tuombe uzima tu ili tushuhudie
Mbona huweki picha za El Classico ?
Hatimaye umekuja. Vipi hiyo game unatabiri nini kitatokea ?
Mbona huweki picha za El Classico ?
Acha utoto ukue .........
Mtani siyo mimi mtani yaani ni........Mtani ratiba yako ya kuonekana jukwaani nimeipenda
Hahhaaaa au umeuza akaunti nini?Mtani siyo mimi mtani yaani ni........
Abadilishe anategea sana![]()
![]()
ungependa abadiliashe?