Nitafurahi sana kama Manchester united haitamchukua Mourinho,hafai kabisa kuwa kocha wetu,kwa sasa hivi timu inaelekea kuwa ktk mstari sahihi,wachezaji wengi kutoka academy yetu wanaandaliwa kuingizwa ktk kikosi cha kwanza na ni wazuri sana,hawa ndio watakaotengeneza uti wa mgongo wa Manchester united ijayo, naiona class of 92 ikirejea Manchester. Kitendo cha Mourinho kuja kitaashiria kuvuruga mipango yote hii ya ujenzi wa Manchester united mpya. Mourinho anapenda kufanya kazi na wachezaji wenye umri mkubwa kuliko makinda. Hakika hatufai kabisa.