Manchester United (Red Devils) | Special Thread

RvP, chicharito wameondolewa na van gaal, kwann tusimlaumu?
 
Jana tume droo chifu, au mwenzetu memory yako mafaili yamejaa?
 
RvP, chicharito wameondolewa na van gaal, kwann tusimlaumu?
Hivi unajua RVP hata huko alipo anapigwa bench?

LVG alaumiwe kwa kushindwa kuwatumia wachezaji waliopo sio aliowauza,wachezaji wengi aliowauza huko walipo hawafanyi vizuri
 
Jana tume droo chifu, au mwenzetu memory yako mafaili yamejaa?
Kwa hiyo draw imekusogeza wapi mkuu maana kumbukumbu zinaonyesha ulisema utampiga Jogoo Old Toilet ili usonge mbele au?memory yangu iko vizuri ila nashangaa leo unakuja kupiga shangwe ya draw kana kwamba imekusaidia.
 
Kwa hiyo draw imekusogeza wapi mkuu maana kumbukumbu zinaonyesha ulisema utampiga Jogoo Old Toilet ili usonge mbele au?memory yangu iko vizuri ila nashangaa leo unakuja kupiga shangwe ya draw kana kwamba imekusaidia.
Najua baada ya game yenu na Everton majukumu yataongezeka ila kwasasa furahia likizo uliyoipata....
 
Hivi unajua RVP hata huko alipo anapigwa bench?

LVG alaumiwe kwa kushindwa kuwatumia wachezaji waliopo sio aliowauza,wachezaji wengi aliowauza huko walipo hawafanyi vizuri
Mkuu uwepo wake tu na uzoefu wa ligi ungesaidia sana hawa akina martial na watoto kama W.Kean na akina rashford kujifunza kitu, kwa upande wangu van parsie angekua ni back up nzuri kuliko hata rashford ( sina maana rashford ni m-baya but he is too young and inexperienced)
 
Chifu, vipi kuhusu haja ya ku-offload wachezaji wenye mishahara mikubwa baada ya kutumia pesa nyingi kusajili? Ungeweza vipi kumbakiza RvP kama back-up huku akilipwa pesa nyingi kuliko 1st elevener?
 
Kila kocha huwa ana striker number moja,RVP alisajiliwa na SAF na ndio alimfanya main striker na SAF angekuwepo angemuuza Rooney huenda RVP angekuwepo.Alivyokuja Moyes mambo yakabadilika Rooney akawa main striker na RVP alisikitika SAF alivyostaafu na kuna kipindi alikuwa analalamika wachezaji wenzake hawampi nafasi + majeruhi hali ikawa mbaya zaidi.LVG alivyokuja alimwambia RVP striker no moja ni Rooney yeye atakuwa striker no 2. watu walidhani sababu ni mdachi mwenzie angempa priority hata u-kapteni walidhan angempa RVP

Ni ngumu kuwahold seniors striker 2 kwenye timu moja,option ilikuwa mmoja lazima aondoke(RVP,Wazza)

RVP asingekubali kuwa mchezaji wa benchi na hata huko Uturuki jamaa analalamika anapigwa bench

Man United wanahitaji striker mpya kijana sio kutegemea hao wazee
 
Najua baada ya game yenu na Everton majukumu yataongezeka ila kwasasa furahia likizo uliyoipata....
Hili ndio jibu la swali langu kua draw na Liva imewasaidia nini?kweli tumevurugwa khaaaa na wewe usisahau gari la parade jitahidi uwakumbushe na wenzio.
KILA NYUMBA LAZIMA ITOE MAITI TOFAUTI NI SIKU NA MUDA TU MSIBA LAZIMA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…