Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

too far gone to care!

Siwezi kuwacheka ni vigumu kupata kocha wa kuwarudisha juu kama babu Fergie alivyokuwa. Huyo Mourinho anayedhaniwa kuchukuwa timu atafanya hivyo(kuwarudisha kugombania ubingwa) kwa miaka 2 hadi 4 then ataleta ubovu wake wa kihistoria. Mourinho hatoweza kuchezesha entertainment, attacking football kama aliyofanya Sir Alex, hilo mlikubali. Arsenal tutawafuata mlipo muda si mrefu, Wenger atakuwa ana miaka si chini ya 3 aondoke.
 
Memphis na varela wako poa, kwa hii first half, lingard yupo hovyo as usual, ni muda wa A. Pereira kupewa nafasi nae
 
Baada ya kukosa penati niliamua kuondoka kibanda umiza na kurudi nyumbani.....nitachungulia matokeo tu, timu ya LVG ni mbovu kuliko ya D MOYES
 
... nothing special, hata Aston Villa ingewafunga tu hawa wachovu
 
Back
Top Bottom