hii mechi lazma niangalie ingawa kesho yake nitasinzia kazini........Na yule beki wako Boswich-Jackson kaumia
Hivi jumapili nani wanacheza beki za pembeni ooopss
Karibu emirates leo namgalagaza Barca, hamtaamini macho yenu leo
Thou sisemi tunawatoa in Two legs
Hahahahahaa ulivyojihami aiseeeee!!!! Kila la heri best........Na yule beki wako Boswich-Jackson kaumia
Hivi jumapili nani wanacheza beki za pembeni ooopss
Karibu emirates leo namgalagaza Barca, hamtaamini macho yenu leo
Thou sisemi tunawatoa in Two legs
Hahahaaaa, mashabiki wa assnail mnaogopa mkisikia jina la mourinhoWampe tu Giggs ni gamble inayoweza kupay back
Wampe tu Giggs ni gamble inayoweza kupay back
.,...are you seriousWampe tu Giggs ni gamble inayoweza kupay back
Hahahaaaa, mashabiki wa assnail mnaogopa mkisikia jina la mourinho
hii mechi lazma niangalie ingawa kesho yake nitasinzia kazini........
I am damn serious give the Welshman that opportunity.,...are you serious
[ IMG]//uploads.tapatalk-cdn.com/20160223/cd3865f0212dc62335786dad2b35034a.jpg[/IMG]
Hahahahahaa ulivyojihami aiseeeee!!!! Kila la heri best........
Nanuna kweli tena si kitoto..........yani nitanuna haswaaaaaa......nitainunia hadi kazi yangu aitaenda job keshokaribu emirates uone mpira wa maana.....na tukimpiga barca utakavyonuna kama nakuona vileee
khe khe khee kheeeeeeeee!!!!!
umekuja kuazima majamvi? kuna maturubai tu hapaThanks
Mimi sijawahi kuwa shabiki wa mpiga domo! Uwa nasema jamaa ni mjanja mjanja tu, siyo mwalimu wa mpira. Sasa kwa wachezaji waliopo United sasa, anahitajika mwalimu wa mpira ili awafunde vijana. Maureen akienda United ina maana kuna over haul itatokea tena. Hiyo inaweza ikawa kama bahati nasibu, kufanikiwa ama kusubiri tena miaka miwili ya kujenga timu. Timu ya sasa inahitaji tu kujaziliziwa kwenye maeneo machache (kama backline na forwadline) kisha inakuwa imekaa vyema.
Fans wengi wanaomtaka mou ni matokeo oriented (japokuwa wana point) kiasi fulani kuvumilia anguko linaloonekana wazi wazi na ulikuwa Timu bora yakata Moyo wa chumaMimi sijawahi kuwa shabiki wa mpiga domo! Uwa nasema jamaa ni mjanja mjanja tu, siyo mwalimu wa mpira. Sasa kwa wachezaji waliopo United sasa, anahitajika mwalimu wa mpira ili awafunde vijana. Maureen akienda United ina maana kuna over haul itatokea tena. Hiyo inaweza ikawa kama bahati nasibu, kufanikiwa ama kusubiri tena miaka miwili ya kujenga timu. Timu ya sasa inahitaji tu kujaziliziwa kwenye maeneo machache (kama backline na forwadline) kisha inakuwa imekaa vyema.
Anyway, maamuzi yote yapo kwenye bodi. Ngoja tuone wataamua nini.
Nashkuru nimepita huko na kuna mtu kaipokea pole yangu kiungwana kabisa hali ilikuwa tete tulikuwa tunajua jirani anapigwa tatizo lilikuwa idadi tu.Jamani mmepita kutoa pole huko mtaa wa pili??!! Hali nzuri huko kiasi kwamba msiba hausafirishwi wanazika pale pale Emirates!
Naona kipigo kimekulevya hata hujitambui uko wapi!Gem ya leo, kuna mambo nligundua…
- bora Welbeck aliekatwa kichwa kuliko Giroud mwenye kiduku.
- Bora Ox aliekua anachechemea kuliko walcott mwanariadha.
- Bora coq kipofu kuliko flamin anayeona
- Bora LVG mwenye notebook busy anaandika kuliko wenger aliyesimama na kufanya sub.
- Flamin ni jembe linalolima kuwili, kote kote analima hata kama hajui atavuna nini
- Ozil aliomba kabla yakuingia uwanjan, ila kabla yakutoka uwanjan alimtusi Alves.
- Sanches mwandiko wako mbaya ila unasomeka.
- Ramsey mvuvi mwenye nduano katikati ya bahari, ila kila ukivuta ndoano umenasa chura.
-Barca ni team ila arsenal ni wacheza mpira
- kufunga ni kipaji, ila kwa messi ni fani
- Kweli vya bure gharama, flamin kathibitisha, coz alikuja bure, na ataondoka bure
- Wenger ni mwalimu mzuri sana kama utaamua kujifunza kutokana na makosa anayoyafanya.
- Emirate ni uwanja wa Arsenal ila hata Barca walitumia kama wamekodisha.
----Washabiki wa Arsenal tunaishi kwenye nchi ya vipofu, japo mfalme wetu (mzee wenger) ni chongo-----
Asanteni kwa kunisikiliza
[HASHTAG]#COYG[/HASHTAG]
Valencia na rojo wamesharudi mazoezini,
Nadhani game na assnail watacheza full time.
GGMU