Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tumecheza vizuri tukafanya uzembe ,I hope tutaendelea na hii momentum
 
Duh game nimeikosa....nimepitiliza usingizi namka dakika ya 84! Afadhali ningeamka ya 90 tungeshinda
 
Timu ilichemsha kulinda goli moja....anyway, good performance...ila pamoja na Man United kutokuwa sawa, ni mara alfu ya Chel$kis, wamejichokea mara milioni...walikuwa wakuwafunga hawa..
 
Yale ya liverfools shiiit!!!
Taratibu chifu...appreciate basi hata kidogo kuwa timu imecheza vizuri kwa ujumla...tulikuwa ugenini kwenye uwanja ambao hata SAF alikuwa hashindi...Chel$kis ndiyo timu iliyoshinda mechi nyingi dhidi ya Man United katika EPL. Hivyo, pamoja na kuumia na droo, lakini timu imefanya vizuri. Kama alivyosema Belo, cha muhimu ni kuendelea na momentum hii...

Sasa hivi timu inacheza more dynamic kuliko kuwa rigid kwa ku-stick kwenye positions.
 
Pamoja na matatizo ya LVG still namkubali jinsi anavyowapa nafasi chipukizi (Lindgard,Bothword-Jackson,Valera,Perreira) na kuwapa confidence,ni ngumu sana timu kubwa kuwapa nafasi kwenye huu ushindani wa siku hizi .Martial,Shaw,Valera,Lindgard,Perreira baada ya miaka 2/3 timu itakuwa nzuri sana Januzaj na Depay wanahitaji kuongeza bidii otherwise wanaweza wasiwepo
 
Taratibu chifu...appreciate basi hata kidogo kuwa timu imecheza vizuri kwa ujumla...tulikuwa ugenini kwenye uwanja ambao hata SAF alikuwa hashindi...Chel$kis ndiyo timu iliyoshinda mechi nyingi dhidi ya Man United katika EPL. Hivyo, pamoja na kuumia na droo, lakini timu imefanya vizuri. Kama alivyosema Belo, cha muhimu ni kuendelea na momentum hii...

Sasa hivi timu inacheza more dynamic kuliko kuwa rigid kwa ku-stick kwenye positions.
Mkuu nimesikitika bao lilivorudi dk za mwisho kama yale ya liverpool jana si kwamba nimeiponda timu.....
 
Hapa Memphis alichemsha kutoa pasi...kulikuwa na wachezaji watatu wa United dhidi ya mmoja wa Chel$kis badala ya square pass yeye akapiga forward pass iliyompiga beki...
 

Attachments

  • image.jpeg
    image.jpeg
    57.5 KB · Views: 13
Pamoja na matatizo ya LVG still namkubali jinsi anavyowapa nafasi chipukizi (Lindgard,Bothword-Jackson,Valera,Perreira) na kuwapa confidence,ni ngumu sana timu kubwa kuwapa nafasi kwenye huu ushindani wa siku hizi .Martial,Shaw,Valera,Lindgard,Perreira baada ya miaka 2/3 timu itakuwa nzuri sana Januzaj na Depay wanahitaji kuongeza bidii otherwise wanaweza wasiwepo
Kabisa. Tutakaa poa tu...bado tuna nafasi ya kucheza UCL msimu ujao...kwa sababu timu zilizo juu zitaanza kukutana kuanzia wiki ijayo...hivyo lazima zita-drop points tu...
 
we have paid for Depay's sub, naungana na Lingard najisikia kama tumefungwa. Goli la kizembe dk ya 91 linauma sana.
 
Pamoja na matatizo ya LVG still namkubali jinsi anavyowapa nafasi chipukizi (Lindgard,Bothword-Jackson,Valera,Perreira) na kuwapa confidence,ni ngumu sana timu kubwa kuwapa nafasi kwenye huu ushindani wa siku hizi .Martial,Shaw,Valera,Lindgard,Perreira baada ya miaka 2/3 timu itakuwa nzuri sana Januzaj na Depay wanahitaji kuongeza bidii otherwise wanaweza wasiwepo
The bar has been raised, hata Spurs ndani ya miaka 2 watakuwa poa sana bila kusahau Mancity na chelsea na Arsenal.
 
we have paid for Depay's sub, naungana na Lingard najisikia kama tumefungwa. Goli la kizembe dk ya 91 linauma sana.
Depay tangu Shaw alivyoumia naye akapotea leo ni game ya pili anasabaisha goli,inabidi akaze sana akija kocha mwingine anaweza akauzwa
 
Najiuliza nini kilitokea kwa Rooney mbona siku hizi anacheza vizuri ?
 
Bora mayanja apewe man u kulko van gal
Mayanja alitaka kuishusha daraja Coast,alivyoondoka tu wameanza kushinda na wakamfunga Yanga ambaye alikuwa hajafungwa game 14
 
The bar has been raised, hata Spurs ndani ya miaka 2 watakuwa poa sana bila kusahau Mancity na chelsea na Arsenal.
Ni vizuri kwa ligi na mashabiki...siyo kama La UEFIGA ambako ni timu 2/3 tu ndizo zinashindana.
 
Depay tangu Shaw alivyoumia naye akapotea leo ni game ya pili anasabaisha goli,inabidi akaze sana akija kocha mwingine anaweza akauzwa

Ni kweli Belo mtu kama Mourinho hataweza kukaa na Depay. Hata Fellain atakuwa kwenye wakati mgumu. Ila masikitiko yangu makubwa yatakuwa kwa Mata. Hapo ndipo ninapopata ukakasi kwa Mourinho.
 
timu imecheza vizuri namkubali sana de gea hata goli la lindgard ni zuri sana morali ipo kwenye timu kwa sasa naanza kuifurahia man u yangu

4ever man u
 
Back
Top Bottom