Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

De gea is freak of nature
Dah sijui sie kipa kama uyu tutampata lini
 
Ni kweli Belo mtu kama Mourinho hataweza kukaa na Depay. Hata Fellain atakuwa kwenye wakati mgumu. Ila masikitiko yangu makubwa yatakuwa kwa Mata. Hapo ndipo ninapopata ukakasi kwa Mourinho.
Msimu huu ulivyoanza Mata alikuwa anacheza vizuri kama Mourinho anavyotaka hapa karibuni alipoteza fomu kwa hizi game mbili kacheza vizuri sana.Mourinho ana matatizo ambayo bodi ya Man United watampa condition huko nyuma alikosa hiyo kazi kwa sababu hizo
 
Taratibu chifu...appreciate basi hata kidogo kuwa timu imecheza vizuri kwa ujumla...tulikuwa ugenini kwenye uwanja ambao hata SAF alikuwa hashindi...Chel$kis ndiyo timu iliyoshinda mechi nyingi dhidi ya Man United katika EPL. Hivyo, pamoja na kuumia na droo, lakini timu imefanya vizuri. Kama alivyosema Belo, cha muhimu ni kuendelea na momentum hii...

Sasa hivi timu inacheza more dynamic kuliko kuwa rigid kwa ku-stick kwenye positions.
Positions or possession?
 

Attachments

  • image.jpeg
    image.jpeg
    28.5 KB · Views: 18
Kabisa. Tutakaa poa tu...bado tuna nafasi ya kucheza UCL msimu ujao...kwa sababu timu zilizo juu zitaanza kukutana kuanzia wiki ijayo...hivyo lazima zita-drop points tu...
Kwani wewe haukutani nazo? Sasa ni mwendo wa six pointers tu, na nyie mtadrop pia.
 
Positions or possession?
Unacheza soka?! Nilichokiandika ndicho nilichokimaanisha. Katika mechi tatu zilizopita timu imekuwa more dynamic kuliko mwanzoni, ambacho wachezaji walifuata maelekezo ya kocha ya ku-stick kwenye positions zao.

Kama hujaelewa uliza uelekezwe.
 
De gea is freak of nature
Dah sijui sie kipa kama uyu tutampata lini
De Gea ni shida, leo kaokoa goli tatu sijui kivipi, vinginevyo zilikuwa kambani. Ya Ivanovic, ya Costa na ya cesc! Dah. Tatizo Real wataanza kumu-unsettle wakati wa summer.
 
Kwani wewe haukutani nazo? Sasa ni mwendo wa six pointers tu, na nyie mtadrop pia.
Wiki ijayo Goons wanacheza na Leicester, na Shitty wanacheza na Spurs. United itacheza na Sunderland. Kwa hiyo hapo, United ikishinda, itapunguza gap kati ya timu zilizo juu yake. Kwa sababu hata mechi zote hizo ziishe kwa droo, bado points zitakuwa dropped.
 
Tukikutana na assnail na form hii,tunawanywa maana namuona mpenda sifa Sanches anarukaruka tu uwanjani.
 
De Gea ni shida, leo kaokoa goli tatu sijui kivipi, vinginevyo zilikuwa kambani. Ya Ivanovic, ya Costa na ya cesc! Dah. Tatizo Real wataanza kumu-unsettle wakati wa summer.
De gea sio leo tu yule kila mech anawabeba man u japo wana poor defence na khsu kubaki sidhn kma man u wataridhia
 
Ni kweli Belo mtu kama Mourinho hataweza kukaa na Depay. Hata Fellain atakuwa kwenye wakati mgumu. Ila masikitiko yangu makubwa yatakuwa kwa Mata. Hapo ndipo ninapopata ukakasi kwa Mourinho.

Sidhani kama imeshakuwa confirmed kuwa Morinho anakuja OT.

Binafsi naombea asipewe mikoba pale.
 
Tatizo Real wataanza kumu-unsettle wakati wa summer.
Tatizo kwa wewe shabiki wa Goons? Anyways, United ni kawaida kuwa na world class goalie. Akiondoka DDG, atakuja mwingine. By the way, wewe ni wakala wake ama? Maana inaonekana unazijua taarifa zake kuliko hata De Gea mwenyewe! Juzi hapa amekana huo uzushi na kusema ana furaha OT na anatamani acheze hapo kwa muda mrefu.
 
Tumewahi kukaba sana hii game baada tu ya kupata goli moja. Hatujamfanya ivanovic kuwa bize na akawa anapeleka krosi za kutosha. Ni heri nafasi ya winga mmoja tungempa kiungo mkabaji kama tuluamua kucheza deep kihivyo.
 
De gea sio leo tu yule kila mech anawabeba man u japo wana poor defence na khsu kubaki sidhn kma man u wataridhia
Poor defence unai-define vipi? Kwa mujibu wa takwimu: ni Spurs tu ndiyo wamefungwa goli chache 19. United na Goons wamefungwa goli 22. Ndiyo defence bora ya ligi baada ya Spurs.
 
Tumewahi kukaba sana hii game baada tu ya kupata goli moja. Hatujamfanya ivanovic kuwa bize na akawa anapeleka krosi za kutosha. Ni heri nafasi ya winga mmoja tungempa kiungo mkabaji kama tuluamua kucheza deep kihivyo.
Kweli kabisa. LvG alianza kulinda goli mapema mno. Angemwingiza Depay mapema na kucheza kwa kutumia wings ili beki mbili na tatu wa Rent Boys wawe busy. Maana katikati tayari Morgan alikuwa yupo. Anyway, kwenye goli kuna kosa la dogo CBJ, kutokana na kutokuwa na uzoefu, alimchezesha Costa na kumfanya asiwe offside, kwani Blind na Smalling walikuwa wamejivuta mbele kidogo.

All in all, nimeridhika na matokeo na haswa timu ilivyocheza. Bado tuna nafasi ya kucheza UCL mwakani.
 
Back
Top Bottom