Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Patamuuuu leoooo!
1454449688643.jpg
 
Haya sasa wenye roho mbaya na van girl nazidi kuwaambia watakufa na roho mbaya zao hatoki MTU hapa ! Mungu tetea baba wa watu na kibarua chake Amen
 
Watu mmelala mapemaa!

Wapi;
Bavaria
@Hereira
@everlek
Mkuu am so so happy, licha ya yote tunayokumbana nayo, tupo nyuma point 5 na assnail,

Tumezidiwa point tano tuu na tittle contender assnail,

Toka huu Mwaka 2016 uje our flop Rooney ana goli tano, and the tittle contender assnail wana goal NNE, what a time to be alive.
 
Wala uhitaji kuwa rocket scientist kuelewa kwamba dynamic football ndiyo staili na filosofi ya #ManUnited

Wachezaji wakicheza kwa uhuru kama leo, ushindi unapatikana kwa asilimia kubwa.

Mata yeye ni namba 10 bana, kumweka kwenye right wing ni kumwonea. Leo kaonyesha ni kivipi alivyo mmoja ya creative players with brains. Martial, Monaco inabidi waombe pesa zaidi.

Wazza is on fire, is it 7on 7 or 7 on 8?!? Naona mzee Bobby kiroho kinamdunda tu. Na naamini Wazza sasa anawaza rekodi ya Shearer.

Dogo CBJ, ananifurahisha sana. Anakimbia kama mzembe fulani, lakini shughuli yake baba, ni balaa. Inabidi Shaw akirudi akaze kweli, maana dogo anakipiga kwelikweli.

Wanasema ng'ombe hazeeki maini. Hivyo ndivyo ilivyo kwa pass master mwenyewe, Carrick. Jamaa akiwepo bana, forward passes ndizo zinatawala. Herrera anaweza kuziba pengo, lakini inabidi ajifunze zaidi kutoka kwa Carrick.

DDG Save leo alikuwa likizo kabisa.

Timu imecheza kitimu na kwa kujiamini sana leo. Hiyo ni muhimu ili tukienda darajani, Rent Boys viroho viwadunde.

Hivi hawa Leicester wapo serious kweli?! Loh! Maana wamemtoa nishai mtu mzima leo. Halafu nafikiri watakutana na United karibu na mwisho wa ligi. Yaweza kuwa decisive game kwa timu zote, huwezi jua.

#TutafikaTu
 
Mkuu am so so happy, licha ya yote tunayokumbana nayo, tupo nyuma point 5 na assnail,

Tumezidiwa point tano tuu na tittle contender assnail,

Toka huu Mwaka 2016 uje our flop Rooney ana goli tano, and the tittle contender assnail wana goal NNE, what a time to be alive.
HIVI KWA NINI MNASEMA NA WANASEMA ARSENAL NI TITLE CONTENDERS ILA MANU SIO? Arsenal title contender kwa mpira upi? Mi nawashangaa sana watu.
Kama Arsenal ni title contender, basi na sisi pia.
 
Wala uhitaji kuwa rocket scientist kuelewa kwamba dynamic football ndiyo staili na filosofi ya #ManUnited

Wachezaji wakicheza kwa uhuru kama leo, ushindi unapatikana kwa asilimia kubwa.

Mata yeye ni namba 10 bana, kumweka kwenye right wing ni kumwonea. Leo kaonyesha ni kivipi alivyo mmoja ya creative players with brains. Martial, Monaco inabidi waombe pesa zaidi.

Wazza is on fire, is it 7on 7 or 7 on 8?!? Naona mzee Bobby kiroho kinamdunda tu. Na naamini Wazza sasa anawaza rekodi ya Shearer.

Dogo CBJ, ananifurahisha sana. Anakimbia kama mzembe fulani, lakini shughuli yake baba, ni balaa. Inabidi Shaw akirudi akaze kweli, maana dogo anakipiga kwelikweli.

Wanasema ng'ombe hazeeki maini. Hivyo ndivyo ilivyo kwa pass master mwenyewe, Carrick. Jamaa akiwepo bana, forward passes ndizo zinatawala. Herrera anaweza kuziba pengo, lakini inabidi ajifunze zaidi kutoka kwa Carrick.

DDG Save leo alikuwa likizo kabisa.

Timu imecheza kitimu na kwa kujiamini sana leo. Hiyo ni muhimu ili tukienda darajani, Rent Boys viroho viwadunde.

Hivi hawa Leicester wapo serious kweli?! Loh! Maana wamemtoa nishai mtu mzima leo. Halafu nafikiri watakutana na United karibu na mwisho wa ligi. Yaweza kuwa decisive game kwa timu zote, huwezi jua.

#TutafikaTu
CBJ anajua pia ku-cross mpira! Dogo anaweza.
 
Mkuu am so so happy, licha ya yote tunayokumbana nayo, tupo nyuma point 5 na assnail,

Tumezidiwa point tano tuu na tittle contender assnail,

Toka huu Mwaka 2016 uje our flop Rooney ana goli tano, and the tittle contender assnail wana goal NNE, what a time to be alive.
Mkuu arsenal ni business as usual....arsenals are not strategical ....and this has been pulling them down for almost a decade now..
 
Back
Top Bottom