Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,686
mkuu,kuna viashiria vingi vya hatari,kwa muda sasa city wamekuwa na maamuzi bora dhidi yetu,ni dalili mbaya hizi,amini nakuambiaHilo la kuwa kama Liverpool ni ngumu chifu. Kilichowaponza Liverpool ni 'umaskini'. Mpira wa sasa ni pesa tu: kwa kutumia pesa unaweza 'kununua' ubingwa. Kama walivyofanya Rent Boys na Man Shitty. Unanunua wachezaji walioiva tayari, unawatafutia na kocha mzuri.