Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1453058403482.jpg
 
Lvg angekua anamuanzisha mata na depay ila wapunguze kumkaba Martial ushindi unakuepo faster
 
7 points behind the league leaders....despite our crappy season...we aren't that far from the summit..
Hivi misimu mitatu iliyopita baada ya michezo 22 mlikuwa na point ngapi?? Maana mashindwa kuwaelewa mnaposema huu msimu mko vibaya!
 
7 points behind the league leaders....despite our crappy season...we aren't that far from the summit..
Kweli standard zetu ziko juu....timu yetu tunaiona mbovu ever lakini ishakaa kileleni na sasa iko only 7pts behind,ligi ya mwaka huu vituko
 
Kweli standard zetu ziko juu....timu yetu tunaiona mbovu ever lakini ishakaa kileleni na sasa iko only 7pts behind,ligi ya mwaka huu vituko
Cha kushangaza zaidi ni pale arse8 kaambulia points mbili tu katika mechi 2 zilizopita but still anaongoza ligi
 
Hongereni mmebahatisha!

# Team Pl W D L F A GD Pts Last 6
1 Arsenal 22 13 5 4 37 21 16 44
2 Leicester City 22 12 8 2 39 26 13 44
3 Manchester City 22 13 4 5 43 21 22 43
4 Tottenham Hotspur 22 10 9 3 38 18 20 39
5 Manchester United 22 10 7 5 28 20 8 37
6 West Ham United 22 9 8 5 34 26 8 35
7 Stoke City 22 9 6 7 24 22 2 33
8 Crystal Palace 22 9 4 9 23 24 -1 31
9 Liverpool 22 8 7 7 25 28 -3 31
10 Southampton 22 8 6 8 31 24 7 30
11 Everton 22 6 11 5 39 32 7 29
12 Watford 21 8 5 8 25 24 1 29
13 West Bromwich Albion 22 7 6 9 22 30 -8 27
14 Chelsea 22 6 7 9 31 34 -3 25
15 Bournemouth 22 6 6 10 26 37 -11 24
16 Norwich City 22 6 5 11 24 38 -14 23
17 Newcastle United 22 5 6 11 24 39 -15 21
18 Swansea City 21 4 7 10 19 30 -11 19
19 Sunderland 22 5 3 14 27 45 -18 18
20 Aston Villa 22 2 6 14 18 38 -20 12
 
Hivi misimu mitatu iliyopita baada ya michezo 22 mlikuwa na point ngapi?? Maana mashindwa kuwaelewa mnaposema huu msimu mko vibaya!
Msimu wa mwaka jana, katika mechi ya 22, United walikuwa wanne wakiwa na points 40, GD ya 15 na points 12 nyuma ya Rent Boys.EPL Table: Updated Premier League Standings, Fixtures and Title Odds After Week
Msimu wa mwaka juzi chini ya Moyes na kabla yake chini ya SAF sijui.

Msimu huu siyo mzuri kwa ligi kiujumla. Naona timu nyingi zipo chini ya viwango sana.
 
Back
Top Bottom