DonDonald
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,542
- 2,741
Unafaa uwekwe kwenye kamati ya ufundiWatu weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee katika siku nimesali kwa ajili ya timu yangu ni leo yaani nikasema Hata kamoja tu ka kufutia machozi kwa point tatu,asante Mungu ,yaani nilikuwa nachanganyikiwa kila nikiona on target 0, nimeruka km ndama hapa nilipo na nikapona kabisaa............. Liverpool work done tuonane msimu ujao.......... #GGMU