Sasa mbona tofauti ni point 3 tu ambazo ni mchezo mmoja? Tena mwaka huo jana licha ya kuwa na point 40 baada ya mechi 22, walikuwa nyuma pt 12 ambayo ni michezo 4, msimu huu ni michezo 2 tu, ila nakuunga mkono timu zote kubwa zime underperform mpaka sasa!Msimu wa mwaka jana, katika mechi ya 22, United walikuwa wanne wakiwa na points 40, GD ya 15 na points 12 nyuma ya Rent Boys.EPL Table: Updated Premier League Standings, Fixtures and Title Odds After Week
Msimu wa mwaka juzi chini ya Moyes na kabla yake chini ya SAF sijui.
Msimu huu siyo mzuri kwa ligi kiujumla. Naona timu nyingi zipo chini ya viwango sana.
Kijogoo kala kona, anaomboleza sasa hivi! Atarudi kwa mikwara wakishinda mechi moja!Jamani mtu yeyote akimuona Malafyale anishtue...............
Yuko Ikwiriri anaugulia.....Kijogoo kala kona, anaomboleza sasa hivi! Atarudi kwa mikwara wakishinda mechi moja!
Msimu uliopita tulikuwa na majeruhi karibu timu nzima na msimu huu tulianza vizuri kwenye game 10 za mwanzo tumesajili Darmian,Bastian,Morgan,Depay na Martial msimu huu ulikuwa wa kuchukua ubingwaSasa mbona tofauti ni point 3 tu ambazo ni mchezo mmoja? Tena mwaka huo jana licha ya kuwa na point 40 baada ya mechi 22, walikuwa nyuma pt 12 ambayo ni michezo 4, msimu huu ni michezo 2 tu, ila nakuunga mkono timu zote kubwa zime underperform mpaka sasa!
Kama ni rahisi kiasi hicho basi naomba hawa Illuminati wamfanye afunge kila mechi yaani iwe ni point tatu kila siku mpka tuchukue title, na si moja tu Bali treble EPL Europa,na FA..,............... Mimi naona uzushi tu ni style yake ya ushangiliaji anajua mwenyewe ana maanisha nini.
Unachange lini avatar? I miss you.Kama ni rahisi kiasi hicho basi naomba hawa Illuminati wamfanye afunge kila mechi yaani iwe ni point tatu kila siku mpka tuchukue title, na si moja tu Bali treble EPL Europa,na FA..,............... Mimi naona uzushi tu ni style yake ya ushangiliaji anajua mwenyewe ana maanisha nini.
Muacheni kaka yangu Jamani inatosha......kuna yule mwingine dohhhh!!!!......Yuko Ikwiriri anaugulia.....
![]()
Missing you too dady ....unataka nibadilishe?Unachange lini avatar? I miss you.
Ndio, yaani nilikuwa naangalia new posts nikaona hako kapicha nikajua ni wewe tuu. Binafsi nimekachoka dota!Missing you too dady ....unataka nibadilishe?
Hahahaha Haya nirushie picha nzuri nzuri za Messi ntachagua moja....lol.Ndio, yaani nilikuwa naangalia new posts nikaona hako kapicha nikajua ni wewe tuu. Binafsi nimekachoka dota!
Nirushie PM hapa utapigwa mawe ......Hahahaha Haya nirushie picha nzuri nzuri za Messi ntachagua moja....lol.