EPL imeboreka zaidi, pesa haininui kikombe! Ni cohesiveness!
Kama wataendelea kumwaga pesa kununua vikombe, zama hizo hazipo! Barca wenyewe hawafanyi half a overhaul. Ni unaongeza tu wachezaji wawili au watatu ktk msingi, msingi wa united umebomolewa tayari.