Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,912
- 10,262
Last time man utd kufungwa kama hivi walibounce back na kuchukua treble, hope lvg airudishe 4-1-4-1 huu mfumo mpya wameuzoea.
Mashabiki kuweni na subira msiwe kama man city na chelsea fan wanaofukuza fukuza tu makocha,
Kocha anatakiwa kufanya kazi timu ifanye vizuri,huwezi kuwa na subira kama timu inazidi kudidimia otherwise hali itakuwa mbaya zaidi