Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yaani Giggs ndo anafanya kazi ya LVG hii philosophy ya wapi.....No please #LVGOUT
 

Attachments

  • 1450557463811.jpg
    1450557463811.jpg
    35.5 KB · Views: 183
Duhhhh!!!!! Inauma sana!!! Haivumiliki hata kidogo..... #LVGOUT
 

Attachments

  • 1450557573968.jpg
    1450557573968.jpg
    66.9 KB · Views: 172
Jamani Jamani am fed up with LVG !!!! Leo hii umetutia kwenye aibu kubwa! ...... #LVGOUT
 

Attachments

  • 1450557756268.jpg
    1450557756268.jpg
    46.9 KB · Views: 158
Mashabiki wa united acheni kuwa glory hunters... hivi mngefungwa game nyingi kama chelsea si mngekufa kwa hasira...

LVG is building another dynasty... timu ambayo itatawala soka kwa miaka kibao ijayo.. it took sir alex miaka zaidi ya mitano kupata kitu bora..tulieni
 
Mashabiki wa united acheni kuwa glory hunters... hivi mngefungwa game nyingi kama chelsea si mngekufa kwa hasira...

LVG is building another dynasty... timu ambayo itatawala soka kwa miaka kibao ijayo.. it took sir alex miaka zaidi ya mitano kupata kitu bora..tulieni

Demand ni kubwa sana katika Modern football tena mbaya zaidi timu ya man utd ina OWNERS wao ndo wanapanic kwanza maana Kufanya vibaya kwa timu inaua Brand yao kibiashara....

Unachosema ni kweli ila Usitegemee kwa mpira wa zama hizi....

Nakuhakikishia Hata Wenger akiondoka end ya msimu wa 2016-2017 wataanza nao HIRE and FIRE maana mpira matokeo siku hizi

Swansea wamemtimua mtu ambaye alifikia kuhusishwa na Umeneja wa England Garry Monk baada ya matokeo mabaya tu kwa miezi kadhaa

yalimkuta Michael Laudrup, yamemkuta Brendan Rodgers

Mpira wa zama hizi Usipotoa matokeo tu UNAFUKUZWA and thats it...zama za Fergie na Wenger zimeisha mzee
 
hahahaha uvumilivu umenishinda.....nimeyabwaga rasmi leo..... #LVGOUT

Mpaka we umepanic hii ni shiiida....ila nikwambie kitu

Amini nachosema na yakuingie akilini hata kama ni mazito

zile enzi (era ya Fergie) za kuwachakaza wapinzani wenu, kuwa serious tittle contenders kila msimu zimepita....You come to understand that Fergie was Unbeliavable, Legend manager mi sio manure lakini nasema yule babu hatari

mnapojaribu kuexpect alichoacha ndo kiendelee ndo mtakapopata stress za kufa mtu, Guys relax hiki kipindi ni kama Transition baada ya mafanikio ya kukata na shoka.....Liverpool wamepita huko nao mpaka kesho wanateseka tuuu

Fear Factor is gone timu pinzani haziwaogopi kabisa, everthing is changing so fast

Take it my friend thou ni Bitter

CC: Nzi afu kakimbia huyu
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
2F82097F00000578-0-Jerome_wheels_away_after_handing_Norwich_a_1_0_scoreline_to_take-a-35_1450553175097.jpg


Thats what you get from Van Gaffe ... ..
khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

 
Naona mnaanza kunielewa....LVG IS USELESS mpaka aondoke ndio tutapata mafanikio
 
Golden Boy Anthony Martial pulled back one goal but it was not enough even with double digit corners that amounted to nothing. Meanwhile, Louis Van Gaal sat on his philosophical ass as Giggs came out to move the team,but something doesn't smell right. Norwich wins at OT for the first time since 1989 ending the match 1-2. Some amazing effort from Smalling with that header, Blind & Young were pushing & pushing, but it was not enough. That moment when I saw Roy Keane leaving OT and some fans yawning, I realised that OT has lost it's magic and with that, my official match analysis is ‪#‎LVGOUT‬. What your analysis of this game?

Kama tunashindwa kuwafunga Bournemouth na Norwich tutaweza kwa nani?

Tunahitaji kocha mpya huyu mzee kazi imeshamshinda,the best decision ni ajiuzulu mwenyewe au afukuzwe mapema.Giggs akabidhiwe timu hadi mwisho wa msimu

Itakuwa ni maamuzi mazuri kumpa timu hata Giggs kuliko kuendelea na huyu Mzee....

LVG ajipime mwenyewe na afanye maamuzi magumu.


Long time nilikuwa nasema LVG IS USELESS naona sasa mmenielewa bado Nzi tu......na leo amini msiamini tulivyofungwa nilishiukuru na mechi mbili zijazo tufungwe ili huyu mzee wa philosophy afukuzwe.
 
Last edited by a moderator:
Poleni sana Utd naona turubai haliondoki pale OT kila siku msiba na nina uhakika stoke wataendeleza balaa,yule LVG naomba muacheni ajenge timu mkijichanganya tu mtapishana na chelsick njiani wakiwa wanapanda nyie mnashuka.
 
Kwa staili hii ya kufungwa na timu kama hizi tusahau Uefa, infact hata kombe la kondoo tusahau
Nilikuwa nikikosa mechi ya Man U naweweseka ila sasa afadhali ya kuchungulia kwenye mitandao tu!
 
Long time nilikuwa nasema LVG IS USELESS naona sasa mmenielewa bado Nzi tu......na leo amini msiamini tulivyofungwa nilishiukuru na mechi mbili zijazo tufungwe ili huyu mzee wa philosophy afukuzwe.
Ndugu yangu kwema hapa?Fukuza huyu mwehu wenu ambaye anashindwa kuvuka CL kwa teams kama PSV
 
Back
Top Bottom