Bukayo jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 2,782
- 1,647
Tutapambana mkuu siyo lazima wote tupitie kupotea huko,ila juhudi nayo inalipa tutakaa Sawa tu......halafu leo tupumzishe buana jamvi la tanga tushalianua hili tumelipeleka Anfield angalia nawe lisikukute.
Ha ha ha ha mi wala hata siwafanyii masikhara kivile mi nawapa ukweli ambao Nzi anauona
ngoja niwapumzishe tusubiri game yetu na City kesho
Last edited by a moderator: