Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Mm nipo kwangu Ikwiriri!
Njoo na everlenk niwafungie samaki uduvi mrudi Dar muwafanye kitoweo
Unapoingia katikati ya Jiji la Leicester unakumbana na bango kubwa sana juu ya highway yao linasomeka:
"Jamie Vardy score whenever he want"
Yani huyo utamuona atakavyopotea.........
Nipe no zako za sim kwa pm nakuja huko ikwiriri kwa Bwana diwani uone hao Leicester city ninavyowapiga......
Chelsea sasa imerudi vibaya......na tarehe 28 naleta kilio ktk hii nyumba
Cc RRONDO everlenk cute b
Last edited by a moderator: