Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

2F51237A00000578-3357521-image-a-66_1449946837910.jpg


Majuto mjukuu khe khe khe he khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Hivi tukisema tupige kura kati ya Depay na Luis Nani awe mchezaji wa Man wewe utampendekeza yupi?
 
Poleni ndio Kabumbu Hiyo au Kandanda ilivyo... Ukitaka ushinde kila game nenda Ligi ya Scotland kashangilie Celtic Boring, ndio ligi siku unapanda ngazi siku unateleza chini EPL utaipenda.
 
Iiiiiiiiiiiii moyo unauma Sana Kama nimeachwa Dah hapana aisee ilikua halali kwa Rio na scholes kutoa chozi juzi hii timu ya van gal imechokaaaaaaaaaaaa OUT
 
Chacharito kapiga hatrick borussia m. Akifa tano bila nahisi jamaa anakosekana hapo
 
Namshukuru van gal kumuuza kipenzi cha wana Manchester na sir Ferguson Chicharito mana kampa nafasi ya kwenda kushine na kumprove wrong pumbavu van gal
 
Cha cha Marwa mrito (chacharito) kapiga hatrick jamani
 
Tofauti zetu weka pembeni,Jumatatu nakupa kazi moja tu naomba nipigie Leicester. ........ukifanya hivi nitakupa zawadi ya ushindi.
Ungesema leicester waipige chelsea ningekuelewa, unachotaka hapo juu will come to haunt you come March! Mpinzani wa top four bado ni chelsea, liver, tottenham, sioni leicester city wakiwa hapo mpaka March! Tusubiri wiki ya tatu ya januari tutaona mbivu na mbichi, mchele utajitenga na chuya! Kuna tight schedule ya Xmas na new year, hapo ndo wasindikizaji huishiwa pumzi!
 
Ungesema leicester waipige chelsea ningekuelewa, unachotaka hapo juu will come to haunt you come March! Mpinzani wa top four bado ni chelsea, liver, tottenham, sioni leicester city wakiwa hapo mpaka March! Tusubiri wiki ya tatu ya januari tutaona mbivu na mbichi, mchele utajitenga na chuya! Kuna tight schedule ya Xmas na new year, hapo ndo wasindikizaji huishiwa pumzi!

huu ubingwa unakila dalili za kutua darajani ni suala la muda tu
 
Tofauti zetu weka pembeni,Jumatatu nakupa kazi moja tu naomba nipigie Leicester. ........ukifanya hivi nitakupa zawadi ya ushindi.

Mhhh Chelsea ipi ya kumfunga Leicester huyu?

"Amini amini nakuambia itakua rahisi kwa JWTZ kuipiga USA vitani hadi Obama aka surrender kuliko kwa Chelsea kuifunga Leicester ugenini"
 
Back
Top Bottom