Asante sana my kaka, tutafika tu......
Tofauti zetu weka pembeni,Jumatatu nakupa kazi moja tu naomba nipigie Leicester. ........ukifanya hivi nitakupa zawadi ya ushindi.
Mhhh Chelsea ipi ya kumfunga Leicester huyu?
"Amini amini nakuambia itakua rahisi kwa JWTZ kuipiga USA vitani hadi Obama aka surrender kuliko kwa Chelsea kuifunga Leicester ugenini"
peleka malalamiko fa
Kwenda kule wewe..... Leicester City nakwenda kuwapiga vibaya..... Utakua wapi nije niangalie mpira na wewe?
Kwani game imeisha ngapi ngapi...
Duuuhhh.. aibu
Koh koh kooooh kooh koooooooh
Yaani leo huzuni kila mahali acha tu !!! magoli yamerudi dakika za mwisho,Barca wajilaumu sana kwa hili Atheletico haoooo.....huku nako Tottenham haooooo tuwaombee Njaa kesho Arsenal, Leicester na Totenham.....lol
Kesho nategemea mabruda mtanipa raha nisahau machungu yangu....
Msaga sumu vipi? Kikoohoz kinakusumbua tangu lini?
Kwani game imeisha ngapi ngapi...
Duuuhhh.. aibu
Tangu Jana usiku ndugu yangu....... Umzima lakini?