Depay ana hizi taarifa????
Ndioooo
Depay ana hizi taarifa????
Ndioooo
Duh time lipolipo tu..
Hivi Man ilifungwa maana naona wakaanga sumu wamevamia jamvi letu.
Kama United atatolewa Champions league kwenye group stage na LVG akakosa ubingwa wa EPL/FA msimu huu sidhani kama atabaki
Haya mambo hupata pengine ila pale Man U tu.
1...Juzi dhidi ya West Ham walipiga shuti 22 golini lakini on target ilikua 1 tu.
2...Game dhidi ya Leicester city muda wa mapumziko dakika zote 15 alitumia kuongea Van Gaal tu.
3...Mpaka sasa ndo timu inayoongoza kwa kupiga pasi za nyuma (back pass), wamepiga pasi 3149
4...Kuna game De Gea alipiga pasi 39 huku Rooney alipiga pasi 40
5... Yule wanaesema Henry mpya katika mechi 13 zilizopita amefunga goli 1 tu
6...Katika michezo 10 iliyopita Man U wamefunga magoli 7 tu huku timu yenye staika Giroud katika hiyo michezo 10 iliyopita imefunga magoli 20
7...Bado wanajiuliza kwa nini hawa wachezaji waliuzwa Rafael, Chicharito, Kagawa, Di Maria.
8...Ni timu ambayo ikiwa inaenda kushambulia wanaenda kama simba ila wakishaingia ndani ya boksi la adui wanageuka na kua paka.
9...Kuna kila dalili na msimu huu mashabiki wa Man U kurusha ndege tena pale OT, ngoja tusubili Wolfsburg hiyo j4.
Haya mambo hupata pengine ila pale Man U tu.
1...Juzi dhidi ya West Ham walipiga shuti 22 golini lakini on target ilikua 1 tu.
2...Game dhidi ya Leicester city muda wa mapumziko dakika zote 15 alitumia kuongea Van Gaal tu.
3...Mpaka sasa ndo timu inayoongoza kwa kupiga pasi za nyuma (back pass), wamepiga pasi 3149
4...Kuna game De Gea alipiga pasi 39 huku Rooney alipiga pasi 40
5... Yule wanaesema Henry mpya katika mechi 13 zilizopita amefunga goli 1 tu
6...Katika michezo 10 iliyopita Man U wamefunga magoli 7 tu huku timu yenye staika Giroud katika hiyo michezo 10 iliyopita imefunga magoli 20
7...Bado wanajiuliza kwa nini hawa wachezaji waliuzwa Rafael, Chicharito, Kagawa, Di Maria.
8...Ni timu ambayo ikiwa inaenda kushambulia wanaenda kama simba ila wakishaingia ndani ya boksi la adui wanageuka na kua paka.
9...Kuna kila dalili na msimu huu mashabiki wa Man U kurusha ndege tena pale OT, ngoja tusubili Wolfsburg hiyo j4.
Haya mambo hupata pengine ila pale Man U tu.
1...Juzi dhidi ya West Ham walipiga shuti 22 golini lakini on target ilikua 1 tu.
2...Game dhidi ya Leicester city muda wa mapumziko dakika zote 15 alitumia kuongea Van Gaal tu.
3...Mpaka sasa ndo timu inayoongoza kwa kupiga pasi za nyuma (back pass), wamepiga pasi 3149
4...Kuna game De Gea alipiga pasi 39 huku Rooney alipiga pasi 40
5... Yule wanaesema Henry mpya katika mechi 13 zilizopita amefunga goli 1 tu
6...Katika michezo 10 iliyopita Man U wamefunga magoli 7 tu huku timu yenye staika Giroud katika hiyo michezo 10 iliyopita imefunga magoli 20
7...Bado wanajiuliza kwa nini hawa wachezaji waliuzwa Rafael, Chicharito, Kagawa, Di Maria.
8...Ni timu ambayo ikiwa inaenda kushambulia wanaenda kama simba ila wakishaingia ndani ya boksi la adui wanageuka na kua paka.
9...Kuna kila dalili na msimu huu mashabiki wa Man U kurusha ndege tena pale OT, ngoja tusubili Wolfsburg hiyo j4.
Mzee wa kukop na kupaste
Kwa ajili ya man u
Ha ha ha ha ha Mr Liverfool
Mwaaaaaaaaaaaa!!!!!