wembeee
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 2,708
- 1,357
Hahahhaha wewe cheka tu ntakulipuaaaa Wee endereeeaaaaaaa!!!!!.......😡😡😡
Duuuuh leo nadhan auko poa lkn unakaribishwa kesho kwenye Shoo za Klopp mtani
Hahahhaha wewe cheka tu ntakulipuaaaa Wee endereeeaaaaaaa!!!!!.......😡😡😡
Nakusalim shemeji, uhali gani...
Pole kwa matokeo
Duuuuh leo nadhan auko poa lkn unakaribishwa kesho kwenye Shoo za Klopp mtani
Shemeji mi mzima sana, ......shemeji acha tu tushapoa,bado tatizo pale mbele butu ila siyo mbaya heri nusu shari kuliko shari kamili......shemeji wewe timu gani niwe nakutembelea?
We geuza mambo kunifanya miye kichaa siyo,haya mimi kama kawaida nitajaa tele usinikimbie tu......msalimie pacha wako D
Shem mimi ni sawa tu ya mdogo wako....alinilazimisha niwe timu yake...ila nafikilia kwenda onloan lecester cty...
Nadhani leo wamedroo hawa red devils...
Kanunaaa....
Cc cute b
HahahAha shemeji mimi simooo!!!! Leicester wako vizuri sana Ngoja tuone kama mpka February watadumu
Wakiyumba nitaenda kwingine...nashindwa kuvumilia...mara draw mara kipigo
Shemeji ndo soka ilivyo kicheko kidogo kulia kidogo.
Shem mimi ni sawa tu ya mdogo wako....alinilazimisha niwe timu yake...ila nafikilia kwenda onloan lecester cty...
Nadhani leo wamedroo hawa red devils...
Kanunaaa....
Cc cute b
Love twende ibadani
Nenda uwahi ila usimtege mtumishi.......lol
Shemeji acha visingizio wewe nenda bana, usimuache mkeo peke yake,kuna li nyoka litamtembelea limshawishi Kula tunda bure. .....lol
Cc cute b
hebu tafsiri kingereza vizuri na usipotoshe, sijaona popote panaposema man u wanatafuta kocha sababu lvg hana jipya bali naona wanatafuta kocha sababu 2017 ndio muda mkataba wa lvg unaisha.
lvg ni kocha wa muda kaletwa pale kuitutolea mizigo na kutuekea damu mpya. na ni kazi ambayo lvg anaijua kuliko mtu yoyote duniani.
na tayari alishasema hana mpango wa kuwa kocha wa moja kwa moja na usajili wa martial pia alisema anasajili kwa ajili ya giggs.
Huwa huna positive expectations mkuu.....
Love twende ibadani