Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii ndiyo Man Utd ya LVG,Arsenal waliokuwa wanatuogopa leo hii wanacheza bila hofu kabisa.Darmian hana anachofanya,amekuwa uchochoro wa magoli,eti leo hii Man Utd ucheze mpira wa mipasi utegemee kumfunga Arsenal...sijawahi ona,leo nahisi zile nane tulizowafunga wanaturudishia.IN LVG I DO NOT TRUST
 
Sema Morgan inabidi aingie...kumweka Carrick na Bastian pamoja siyo sawa...wote umri umeenda..inabidi kuwachanganyia na damu changa..
 
Hii ndiyo Man Utd ya LVG,Arsenal waliokuwa wanatuogopa leo hii wanacheza bila hofu kabisa.Darmian hana anachofanya,amekuwa uchochoro wa magoli,eti leo hii Man Utd ucheze mpira wa mipasi utegemee kumfunga Arsenal...sijawahi ona,leo nahisi zile nane tulizowafunga wanaturudishia.IN LVG I DO NOT TRUST

Kwenda zako huko...haya ni matokeo ya mpira...SAF alipigwa sita OT...ulisema haya unayoyasema?!?
 
Darmian, Depay na Rooney watoke mapema vinginevyo hali itakua mbaya zaidi
 
lakini bado wananipa moyo ila hii winga leo inazingua sana
 
Yaani Gooners wameshika dimba la kati kabisa....LvG inabidi afanye subs haraka ya kumuingiza Morgan..
 
Dah nipo mbali siangalii mpira sijui kimetukuta kitu gani tena uko au arsenal wapo speed sana
 
Dada'ngu everlenk nakupa pole saaaaaaana, majeraha ya Jana hayajapona Leo tena kidonda kingine tena kikuuuubwaaa. Pole sana najua shosti wako cute b atakuwa anakuuguza.

Pole mama.
 
Last edited by a moderator:
Jamaa wameshika dimba la kati...Morgan hayupo, basi shida tu pale..
Mpo kwenye denial stage,hamuamini kuwa Man U era is OVER na hata sisi Liverpool tulikuwa hatuamini kama nyie kwenye miaka ya 90's!Man U haji kuwa bingwa wa EPL labda miaka 10 toka sasa!

Healing process ina take time,mtazoea tu
 
Depay ni shida sana. Kuna haja ya Valencia kuingia mapema nafasi ya Darmian leo hayupo sawa kabisa
 
Back
Top Bottom