Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

huyu mzee huyu sijui anatutakia nini, mwanzoni akiulizwa kuhusu striker alikua anamtaja Rooney, januzaj, Memphis, Wilson na chicharito, saiz kwa hizi mechi chache kaona hao wameshindwa Ku deliver anasema tatzo la magoli litamalizwa na fellain, kweli????? kutoka kwakina tevez, Rooney na ronaldo pale mbele hadi kuanza kumtegemea fellain?
sijajua kinachomfanya hyu mzee asi-spend ni nini, hadi kufikia sasa tumetumia £19 mill net kwa hili dirisha still anaona mbinde kutoa hela kwajili ya Kane, au griezzman ambaye ada yake ni €56 mill na ame show interest ya kuja. unamuacha Pedro unaanza kumuulizia sadio mane ( this is Liverpoolish)
Game ya juzi nilichoka watu tunatafuta goli ye anafanya sub ya beki badala ya kumtoa memphis aingie young anamtoa jambazi darmian anamuingiza kibaka valencia, alafu anaulizwa kuhusu kiwango cha Rooney anasema Rooney anafanya kile ambacho mi striker wangu nataka afanye,

ngoja tusubiri kama mdau mwingne alivowahi kusema humu point 100 goli 40.

Kweli kila kocha na hobby zake. Enzi za Ferguson team yetu ilikuwa kama baunsa. Mbele ilikuwa vizuri sana ila beki ya kuokota.
Sasa hivi defence ipo vizuri ila mbele pa kuungaunga.
 
1st hakuna striker wa kutisha, kwa hiyo team inacheza vizuri lakni magoli hakuna!
 
2nd beki mzoefu wa kati ili kupunguza mashambuli kwa kipa,maaana timu inacheza vizuri katikati excellent passes,accuracy juu, possession % za kutosha, lakni striker mkali wa kumalizia hakuna, ikipingwa counter attack pressure juu beki hajakomaaa
 
Mara nyingi beki wa kati wanatakiwa wawe watu waliokomaa na wazoefu wa mechi nyingi,au hata ligi flani. Kuliko kujacha watoto 22 -24 years old kwenye beki huu ni utani kwa striker wa timu pinzani
 
Hii maneno nilisema Neymar anatafuta mkataba mnono kwa kutumia Manchester United.Ribeiro denies Neymar transfer to United - MARCA.com (English version)
Swala la Neymar ni uzushi tu wa media wanalipamba kama nini, na ukiangalia Barca wameshamuuza Pedro ambaye kama Neymar hayupo ndo alikuwa anacover nafasi yake,na ban walilonalo siyo rahisi Neymar kuondoka, ni kama ulivyosema agent wake anatumia jina la Man U ili dau lake lipande. Muller naye timu yake imekataa kumuuza dohh!!! Anyway tusubiri tuone.....

Hivi hii mambo ya neymar kwann watu wameikazania hivi? Kisa wakala wake kuja kucheki game OT basi ndio imekua nongwa kwa magazeti ya uingereza yakiongozwa na the sun, hivi kwa akili za kawaida barca wanaweza kumtoa kweli neema? Penyewe saiz alivokua majeruhi hapana mbadala maana Pedro wameshamuuza, Roberto nae bado anasua sua tu,

Pia wakala wake alishakataa hii taarifa:

Neymar's Agent on Utd link : "There's no
truth in it. He has three more years left
on his contract. The English press love
spreading rumours. Barcelona have never
thought of selling Neymar and he is very
happy there"

Mpaka sasa sielewi ni kitu gani kinachomfanya LVG aone "so called washambuliaji" alionao watafanya Utd itishe




Muda mwingi Utd imekuwa inafanya makosa hayo inakomalia wachezaji ambao timu zao ziko radhi wawauze wachezaji wao timu zingine ila sio Utd, matokeo yake tunawakosa na kuishia kununua wachezaji wa dakika za mwisho wa kuokoteza



Ingawa kwenye mpira lolote linaweza kutokea ila kwa washambuliaji tuliokuwa nao sasa suala la kuchukua ubingwa tuu wa EPL itakuwa ni maajabu achana na CL

Nilichoka kusikia pedro alionekana hana mchango kuliko saido mane ...tunataka kuwa kama Aston Villa sasa

Hili deal ni kwamba halijawahi kufikiriwa na Manchester United.
Ni magazeti yanatafuta kuuza kwa kutumia jina la Manchester United.
 
Kweli kila kocha na hobby zake. Enzi za Ferguson team yetu ilikuwa kama baunsa. Mbele ilikuwa vizuri sana ila beki ya kuokota.
Sasa hivi defence ipo vizuri ila mbele pa kuungaunga.
Squad ya Babu Fargie ilikuwa na shida mmoja tu nao ni katikati baada ya Roy16 kustafu midfielder yake haikutokea kuwa bora kama yakina Roy16 nick Butt scholes... Beki ya Babu ilikuwa ahueni kuanzia enzi hizo wakina Stam....Rio.....Vidic....Silvester....Brown....John Oshea...
 
huyu mzee huyu sijui anatutakia nini, mwanzoni akiulizwa kuhusu striker alikua anamtaja Rooney, januzaj, Memphis, Wilson na chicharito, saiz kwa hizi mechi chache kaona hao wameshindwa Ku deliver anasema tatzo la magoli litamalizwa na fellain, kweli????? kutoka kwakina tevez, Rooney na ronaldo pale mbele hadi kuanza kumtegemea fellain?
sijajua kinachomfanya hyu mzee asi-spend ni nini, hadi kufikia sasa tumetumia £19 mill net kwa hili dirisha still anaona mbinde kutoa hela kwajili ya Kane, au griezzman ambaye ada yake ni €56 mill na ame show interest ya kuja. unamuacha Pedro unaanza kumuulizia sadio mane ( this is Liverpoolish)
Game ya juzi nilichoka watu tunatafuta goli ye anafanya sub ya beki badala ya kumtoa memphis aingie young anamtoa jambazi darmian anamuingiza kibaka valencia, alafu anaulizwa kuhusu kiwango cha Rooney anasema Rooney anafanya kile ambacho mi striker wangu nataka afanye,

ngoja tusubiri kama mdau mwingne alivowahi kusema humu point 100 goli 40.

Hao wanatutosha mbona tulikuwa na babu fegie na mambo yalikwenda. Cha maana beki iwe nzuri na kati pawe poa mpira uchezwe kwao tuu lazima magoli yapatikane. Tutashinda.
 
are you sure manchester utd ina defence nzuri. ngoja akutane na timu yenye hitmen wazur kama manchester city, utafuta kauli yako na kuanza kumlilia kocha wako atafute mabeki wazuri! its too early kuconclude kuwa man utd ina outstanding defenders; the likes of darmian? smalling? jones? bracket? shaw? you must be kidding me! kubali kuwa mmekutana na timu ambazo hazina attacking potency......
 
are you sure manchester utd ina defence nzuri. ngoja akutane na timu yenye hitmen wazur kama manchester city, utafuta kauli yako na kuanza kumlilia kocha wako atafute mabeki wazuri! its too early kuconclude kuwa man utd ina outstanding defenders; the likes of darmian? smalling? jones? bracket? shaw? you must be kidding me! kubali kuwa mmekutana na timu ambazo hazina attacking potency......

gemu yenu dhid ya liverpool hapo september itathibitisha kauli yangu. Coutinho will surely take your entire pack of mediocre defenders to school! mark my word!
 
Squad ya Babu Fargie ilikuwa na shida mmoja tu nao ni katikati baada ya Roy16 kustafu midfielder yake haikutokea kuwa bora kama yakina Roy16 nick Butt scholes... Beki ya Babu ilikuwa ahueni kuanzia enzi hizo wakina Stam....Rio.....Vidic....Silvester....Brown....John Oshea...

Nimemuona Roy Keane msimu wa mwisho kabisa. Sijamuona akicheza. Ila hawa managers hawaoni upungufu kama mashabiki tunavyoona?
 
huwa nafurahi pale ninapoona wakaanga sumu mnazijua ratiba za mechi yetu kuliko muijuavo timu yenu.

karoho kanakudunda eeeh?!' safari yenu ndio inaishia hapo, ubeligiji hamna own goals ............

Club brugge2 Vs Manure0
 
Nimemuona Roy Keane msimu wa mwisho kabisa. Sijamuona akicheza. Ila hawa managers hawaoni upungufu kama mashabiki tunavyoona?
Manager kama manager ana philosophy zake yeye ndie nwenye maamuzi ya mwisho katika upangaji wa timu na type ya wachezaji anaowataka kulingana na mfumo wake anaoutumia
Mapungufu tuyaonayo sisi hata wao pia huyaona ila sema wanakuwa na plan zao zitakazosolve hayo mapungufu...ila sema sie fan huwa hatuna uvumilivu tunahitaji kuona mabadiliko ya haraka kitu ambacho sio rahisi kutokea kwa mpira wa sasa
 
Hey guyz ineed herera acheze jmn,nmtaalam xn yule mkaka....
uploadfromtaptalk1440611207226.png
Amesikia Kilio chako Herrer ameanza
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom