Club brugge 2 Vs Manure0
Marouane Fellaini could be the answer to Manchester United's strike problems, according to manager Louis van Gaal.
United have struggled in front of goal this season, scoring just twice in their opening three Premier League games, one of which was a Kyle Walker own goal.
Wayne Rooney, United's top scorer last season, has been heavily criticised after failing to find the net in his last 10 matches.
Jamani hii imekaaje??
Mkuu hunifikii Mimi,
Roho yaniuma sana kumkosa pedro
Marouane Fellaini could be the answer to Manchester United's strike problems, according to manager Louis van Gaal.
United have struggled in front of goal this season, scoring just twice in their opening three Premier League games, one of which was a Kyle Walker own goal.
Wayne Rooney, United's top scorer last season, has been heavily criticised after failing to find the net in his last 10 matches.
Jamani hii imekaaje??
Marouane Fellaini could be the answer to Manchester United's strike problems, according to manager Louis van Gaal.
United have struggled in front of goal this season, scoring just twice in their opening three Premier League games, one of which was a Kyle Walker own goal.
Wayne Rooney, United's top scorer last season, has been heavily criticised after failing to find the net in his last 10 matches.
Jamani hii imekaaje??
Suala la usajili wa Neymar nadhani linatupotezea muda na pengine linaweza kushusha moral ya wachezaji lakini kubwa zaidi naamini tunamtengenezea mkataba mnono.
Hii imekuwa ni tabia ya wachezaji wengi hasa wanapoona kuna dalili za kutopata mkataba mnono wakala anatumia mbinu ya kusema mchazaji wake anatakiwa sehemu fulani matokeo yake timu husika ukimbilia kuandaa mkataba mnono kama ilivyotokea kwa Sergio Ramos.
Naamini kabisa Neymar anataka kuitumia Manchester United ili apate mkataba mzuri,ni ajabu CEO na LvG hawajastukia tabia za wachezaji wa Spain,Ureno na Amerika ya kusini si rahisi kuondoka Spain bali kiwango kikipanda ukimbilia Barcelona au Real Madrid.Machester yafaa iangalie target nyingine na si Neymar sioni dalili hili jambo kutokea.
Suala la usajili wa Neymar nadhani linatupotezea muda na pengine linaweza kushusha moral ya wachezaji lakini kubwa zaidi naamini tunamtengenezea mkataba mnono.
Hii imekuwa ni tabia ya wachezaji wengi hasa wanapoona kuna dalili za kutopata mkataba mnono wakala anatumia mbinu ya kusema mchazaji wake anatakiwa sehemu fulani matokeo yake timu husika ukimbilia kuandaa mkataba mnono kama ilivyotokea kwa Sergio Ramos.
Naamini kabisa Neymar anataka kuitumia Manchester United ili apate mkataba mzuri,ni ajabu CEO na LvG hawajastukia tabia za wachezaji wa Spain,Ureno na Amerika ya kusini si rahisi kuondoka Spain bali kiwango kikipanda ukimbilia Barcelona au Real Madrid.Machester yafaa iangalie target nyingine na si Neymar sioni dalili hili jambo kutokea.
Marouane Fellaini could be the answer to Manchester United's strike problems, according to manager Louis van Gaal.
United have struggled in front of goal this season, scoring just twice in their opening three Premier League games, one of which was a Kyle Walker own goal.
Wayne Rooney, United's top scorer last season, has been heavily criticised after failing to find the net in his last 10 matches.
Jamani hii imekaaje??
Suala la usajili wa Neymar nadhani linatupotezea muda na pengine linaweza kushusha moral ya wachezaji lakini kubwa zaidi naamini tunamtengenezea mkataba mnono.
Hii imekuwa ni tabia ya wachezaji wengi hasa wanapoona kuna dalili za kutopata mkataba mnono wakala anatumia mbinu ya kusema mchazaji wake anatakiwa sehemu fulani matokeo yake timu husika ukimbilia kuandaa mkataba mnono kama ilivyotokea kwa Sergio Ramos.
Naamini kabisa Neymar anataka kuitumia Manchester United ili apate mkataba mzuri,ni ajabu CEO na LvG hawajastukia tabia za wachezaji wa Spain,Ureno na Amerika ya kusini si rahisi kuondoka Spain bali kiwango kikipanda ukimbilia Barcelona au Real Madrid.Machester yafaa iangalie target nyingine na si Neymar sioni dalili hili jambo kutokea.
huyu mzee huyu sijui anatutakia nini, mwanzoni akiulizwa kuhusu striker alikua anamtaja Rooney, januzaj, Memphis, Wilson na chicharito, saiz kwa hizi mechi chache kaona hao wameshindwa Ku deliver anasema tatzo la magoli litamalizwa na fellain, kweli????? kutoka kwakina tevez, Rooney na ronaldo pale mbele hadi kuanza kumtegemea fellain?
sijajua kinachomfanya hyu mzee asi-spend ni nini, hadi kufikia sasa tumetumia £19 mill net kwa hili dirisha still anaona mbinde kutoa hela kwajili ya Kane, au griezzman ambaye ada yake ni €56 mill na ame show interest ya kuja. unamuacha Pedro unaanza kumuulizia sadio mane ( this is Liverpoolish)
Game ya juzi nilichoka watu tunatafuta goli ye anafanya sub ya beki badala ya kumtoa memphis aingie young anamtoa jambazi darmian anamuingiza kibaka valencia, alafu anaulizwa kuhusu kiwango cha Rooney anasema Rooney anafanya kile ambacho mi striker wangu nataka afanye,
ngoja tusubiri kama mdau mwingne alivowahi kusema humu point 100 goli 40.
. unamuacha Pedro unaanza kumuulizia sadio mane ( this is Liverpoolish)
ngoja tusubiri kama mdau mwingne alivowahi kusema humu point 100 goli 40.
Suala la usajili wa Neymar nadhani linatupotezea muda na pengine linaweza kushusha moral ya wachezaji lakini kubwa zaidi naamini tunamtengenezea mkataba mnono.
Hii imekuwa ni tabia ya wachezaji wengi hasa wanapoona kuna dalili za kutopata mkataba mnono wakala anatumia mbinu ya kusema mchazaji wake anatakiwa sehemu fulani matokeo yake timu husika ukimbilia kuandaa mkataba mnono kama ilivyotokea kwa Sergio Ramos.
Naamini kabisa Neymar anataka kuitumia Manchester United ili apate mkataba mzuri,ni ajabu CEO na LvG hawajastukia tabia za wachezaji wa Spain,Ureno na Amerika ya kusini si rahisi kuondoka Spain bali kiwango kikipanda ukimbilia Barcelona au Real Madrid.Machester yafaa iangalie target nyingine na si Neymar sioni dalili hili jambo kutokea.