everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Mpaka sasa dakika ya 70 mmeshakula 4 kavu hahahaha
Dooh!!! Maadam Nyumba kubwa imenifanyia mazuri machungu ya mchepuko yanapoa.....
Mpaka sasa dakika ya 70 mmeshakula 4 kavu hahahaha
siku nzuri sana leo kwa Herrera,
ni bday yake.
timu yake ya sasa utd imeshinda
timu yake ya zamani (Bilbao) imeiangamiza barca goli 4.
hope siku yake imeisha vyema sana.
Damian,Shaw,Smalling,Schneidelen na Mata wamecheza vizuri sana hizi game Rooney,Carick,Depay wanapaswa kuimprove.Tunaanza game slow sana ningependa Bastian angeanza mechi ijayo badala ya Carick,Bastian ni mzuri sana kupanda mbele kusaidia mashambulizi.Rooney anapangwa kwakuwa ni captain
Mimi ni mwanaume, naona umekoswa maadili, aint here to argue with the hoodrat
Uwe na heshima. ......next time ukija humu uje kuchambua mpira sio kutukana watu, hata sisi tunayo maneno ya kuudhi. ...Haya nenda kalale
Mbona man u wenzako wanakuja kwenye thread yetu na hatuwakashfu kiasi hiki, mpira sio ugomvi asee, hicho nilichofanya ni part ya football
Nasali sana, De Gea aondoke hapo, ikifika 2nd september hajaondoka, ntaumia sana..hope Madrid can Pull this up..
Huwezi kuita watu manyumbu. ...huo sio mpira
Yanakuja mkuu