Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mbona kiwango tu!!! Acheni hizo kumpa presha zisizo na tija.....

Akija Pedro, mtampeleka akacheze wapi?? Manake leo naona mmemchezesha number 10, and it seems LVG loves Ashley Young, so kama dogo akiendelea kuchezeshwa number 10 hiyo, ile potential yake yooote inakufa..ili ashine, Ashley Young SHOULD BE DROPPED, kama akija Pedro..depay and pedro kwenye wings, and Mata behind Rooney.....
 
Akija Pedro, mtampeleka akacheze wapi?? Manake leo naona mmemchezesha number 10, and it seems LVG loves Ashley Young, so kama dogo akiendelea kuchezeshwa number 10 hiyo, ile potential yake yooote inakufa..ili ashine, Ashley Young SHOULD BE DROPPED, kama akija Pedro..depay and pedro kwenye wings, and Mata behind Rooney.....

Depay anapendeza akiwa left wing, Mata at CAM, kama Pedro akija ni kweli kutakuwa na ugumu kwa Young ndo maana kabla hajasaini mkataba tulisikia tetesi nying juzi Kati kwamba ataondoka...kikubwa mechi ni nyingi sana za kucheza Young hawezi kuwa dropped, kwa mechi ya leo LVG kumtoa Depay haikuwa njema sana......Dogo Depay yuko njema sana na kama Pedro atakuja nasi tunaweza kuwa na kautatu katakatifu......duh!! Barca wenyewe wanatubania kishenzi.
 
Depay anapendeza akiwa left wing, Mata at CAM, kama Pedro akija ni kweli kutakuwa na ugumu kwa Young ndo maana kabla hajasaini mkataba tulisikia tetesi nying juzi Kati kwamba ataondoka...kikubwa mechi ni nyingi sana za kucheza Young hawezi kuwa dropped, kwa mechi ya leo LVG kumtoa Depay haikuwa njema sana......Dogo Depay yuko njema sana na kama Pedro atakuja nasi tunaweza kuwa na kautatu katakatifu......duh!! Barca wenyewe wanatubania kishenzi.

Hivi kuna mtu yeyote hapa anaweza kuniambia kwanini LVG yupo tayari amchezeshe winga mwingine no.10 ili mradi tu Young acheze kule pembeni?binafsi naona kama anakosea sana,alianza na Di Maria hivyo hivyo mpaka kiwango chake kikashuka,Depay ni mhanga mwingine wa maamuzi ya ajabu ya LVG.Kwanini hapendi kuwachezesha wachezaji ktk nafasi zao?hii iliathiri performance ya team nzima.Kwa mtazamo wangu Young haisaidii sana team kule pembeni kwa maana ya kutengeneza nafasi za kufunga,Depay anaweza kuwa na msaada mkubwa zaidi akicheza kule.
 
Depay anapendeza akiwa left wing, Mata at CAM, kama Pedro akija ni kweli kutakuwa na ugumu kwa Young ndo maana kabla hajasaini mkataba tulisikia tetesi nying juzi Kati kwamba ataondoka...kikubwa mechi ni nyingi sana za kucheza Young hawezi kuwa dropped, kwa mechi ya leo LVG kumtoa Depay haikuwa njema sana......Dogo Depay yuko njema sana na kama Pedro atakuja nasi tunaweza kuwa na kautatu katakatifu......duh!! Barca wenyewe wanatubania kishenzi.

Pedro ana release clause, (£22m) mki-trigger release clause yake, barcelona hawatakuwa na jinsi tena, labda mzinguane na pedro mwenyewe kwenye personal terms, deal ikishindwa kufanyika ujue ni personal terms hazijaafikiwa baina ya pedro na man utd, but as long as ana release clause, barca hawana jinsi yoyote ya kuzuia move kama mki-trigger release clause.
 
>>Real Madrid have Bale, Benzem,C.Ronaldo
(BBC)
>>Barca have Messi, Suarez, Neymar (MSN)
>>Man Utd have Bastian, Memphis, Wayne(BMW)
>>Arsenal have Carzola, Ozil, Oxlade,Laurent K.
(COOL)
>>Chelsea have Falcao, Oscar, Obi, Loic (FOOL)
 
Striking force yetu butu, i find blind ok in that position, Rooney kapoteza mentality ya kua last man. Anarudi deep sana.
Rooney best perfomance yake imekwisha hata lile goli ni kama kashfa kwake tu...rvp na chicharito lazma tuwamiss tu
 
Baada ya game ya jana nimeona ManUnited tunahitaji sana striker namba 9,Rooney ameshasahau kabisa kucheza striker.Kwenye defence tumecheza vizuri hasa (Romero,Darmian na Smalling) tunahitaji sana striker kuliko beki (Rojo,Blind) wanaweza kucheza na Smalling tuombee tusipate majeruhi.Kwa sasa bila striker ningependa kila game Herrera aanze sababu huyu ni kiungo anayefunga magoli,Ashley Young aanze benchi
 
Baada ya game ya jana nimeona ManUnited tunahitaji sana striker namba 9,Rooney ameshasahau kabisa kucheza striker.Kwenye defence tumecheza vizuri hasa (Romero,Darmian na Smalling) tunahitaji sana striker kuliko beki (Rojo,Blind) wanaweza kucheza na Smalling tuombee tusipate majeruhi.Kwa sasa bila striker ningependa kila game Herrera aanze sababu huyu ni kiungo anayefunga magoli,Ashley Young aanze benchi

Umeona vyema mkuu.
Ila usidharau umuhimu wa kupata na beki mzuri ili tuwe safe side zaidi.
Tuna michuano mingi msimu huu, we can't afford kuwa na majeruhi, itatugharimu.
Kila michuano tuliopo ni muhimu zaidi.
Striker na CB ni muhimu sana sana.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Back
Top Bottom