Tunaelekea kuanza msimu wa 2015/16;
-Hatuna CB wa kueleweka na mustakabali wa DeGea haujajulikana. Sidhani kama huu msimu ni mtu wa kutumainiwa sana, ingefaa angeondoka tujue moja.
-Ndo msimu wa LVG ku-deliver, wana wa united hawatavumilia makosa ya kizembe. Hasa maswala ya kujaribu mifumo, ameshakaa vya kutosha. Akivurunda nadhani Ed Woodward hata mvumilia.
-Ndo msimu unaosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa United hasa baada ya kurudi kwenye Champions League. Wanataka kuona team yao inafanya vyema kwenye UCL.
Kwema humu? Naona watu kimyaaaa... hawana uhakika na kitakachowasibu baadae.
Kwema humu? Naona watu kimyaaaa... hawana uhakika na kitakachowasibu baadae.
Romero yupo haitakuwa tatizo sana.
kweli mdau romero yupo ila wanadaia hajadaka muda mrefu nasikia dogo Johnstone ataanza leo
Romero siyo mbaya kwa kweli kuna wakati huwa anafanya amazing fulani,nami kuna mahali nimeona first eleven yetu GK atakuwa Johnstone Ngoja tusubir ile ya official line up.
mechi saa ngapi za kwetu bongo
Golini asimame Romero pale kwa jones weka Chris, spurs atakufa vizuri japo nina mashaka na mahaba ya LVG kwa Blind yanaweza mcost
Ebu idondoshe dada eve...
Blind ni mzuri kuliko Jones kwakuwa ana uwezo wa kuanzisha mashambali vyema,yuko comfortable na mpira.Soka la LvG anataka aina ya wachezaji wenye uwezo wa kukaa na mpira.