Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naona anahesabu za kuwa ataendelea kuwepo pale zaidi ya miaka 3, ila rafael majeruhi ndo yamemkost
Young alikuwa majeruhi ( broken leg )ila alivumiliwa... baada ya hapo form fitness ikawa poor...lakini leo hii yupo na mchango wake umeuona....Rafael still he is 24 years old....angeweza kuovercome hayo yote....
 
Huyu mkaburu wetu anachoniboa ni kuropokaropoka kwenye media kwa ishu nyingine ambazo azina ulazima, na mpaka sasa ivi sijaelewa anatafuta nini kwa kitendo chake cha kumpanga blind kati..
Kuna msemo wake alisema... huwa hapendi kumtumia left foot CB....Chajabu msije ona akamtumia msimu mzima kama CB....Halafu Rojo akawa backup au kupokezana na Shaw
 
Huyu LVG kwa kweli mimi sina imani naye kabisaaaaaa! Na anazidi kunivuruga kabisa,mtu mwenyewe anakaa OT miaka mitatu lakini ona anavyovuruga timu!!! Sasa kuna sababu gani ya kumuuza RAFAEL?? Angemuweka benchi tu kama alivyofanya msimu huu!!! Kwa akili ya huyu kocha hatupati kombe lolote mpaka aondoke!

Hahahahaha endeleeni kumpa nafasi huyu kocha. Atawaletea mafanikio ya kununua wachezaji expensive (Gaaaalitico team)saana then wataondoka baada ya msimu mmoja.
 
Young alikuwa majeruhi ( broken leg )ila alivumiliwa... baada ya hapo form fitness ikawa poor...lakini leo hii yupo na mchango wake umeuona....Rafael still he is 24 years old....angeweza kuovercome hayo yote....

Jamaa anasafisha timu utasema ana miaka 10 kwenye ile timu
 
Jamani mbona tunapenda kulalamika wakati facts zinambeba LVG.

Dogo Rafael kakumbwa na majeruhi muda mrefu kiasi kwamba maendeleo yake yamerudi nyuma badala ya kusonga mbele.

1. Rafael amekuwa akifanya makosa mengi ambayo yanaigharimu timu kubwa zaidi ni kutokuwa katika nafasi nzuri wakati timu inashambuliwa.

2. Rafael ni mfupi sana (1.72 cm) na hii limekuwa tatizo hasa mipira ya juu inayotoka kushoto kwenda kulia mara nyingi akiwa na mshambuliaji mrefu timu inafungwa kirahisi sana.Hapa nazungumzia ligi ya UK akienda nchi nyingine kama France anaweza kuonyesha makeke yake kwakuwa mpira wa kule ni tofauti na UK

3. Majeruhi ya mara kwa mara ni sababu kubwa ya kuuzwa kwake.Mwaka jana amecheza mechi 11 tu hali iliyomlazimisha LvG amtumie zaidi Valencia kama RB.
Takwimu hazidanganyi.
A. 2008 - 2009 kacheza jumla ya mechi 28
B. 2009 - 2010 kacheza jumla ya mechi 16
C. 2010 - 2011 kacheza jumla ya mechi 28
D. 2011 - 2012 kacheza jumla ya mechi 18
E. 2012 - 2013 kacheza jumla ya mechi 40 *
F. 2013 - 2014 kacheza jumla ya mechi 28
G. 2014 - 2015 kacheza jumla ya mechi 11

Ukitazama takwimu vizuri msimu wa mwaka 2012 - 2013 ndio alicheza mechi nyingi zaidi bila majeraha na maendeleo yake yalikuwa mazuri sana.Tangu ajiunge Manchester United mwaka 2008 msimu uliomalizika ndio alicheza mechi chahce zaidi.Timu lazima isonge mbele Rafael ni moja ya wachezaji wazuri na wapiganaji wakubwa lakini muda wake Man unatosha.

Kisoka Full backs huwa hawahitajiki kuwa warefu. Gary Neville, Evra, Dennis Irwin, daniel alves, roberto Carlos, Ashley Cole, Bacary Sagna,Nigel Winterburn wote walikuwa wachezaji wafupi kimo sawia au kinachomkaribia huyo jamaa.. In fact Roberto Carlos ni mfupi zaidi na bado ni mmoja wa FB mahiri waliowahi kutamba sokani.
 
Kuna msemo wake alisema... huwa hapendi kumtumia left foot CB....Chajabu msije ona akamtumia msimu mzima kama CB....Halafu Rojo akawa backup au kupokezana na Shaw

Daah, wakati kwa upande wangu naona atuna centre back alietulia kama Rojo, sema analeta mahaba kwa blind
 
Kuna msemo wake alisema... huwa hapendi kumtumia left foot CB....Chajabu msije ona akamtumia msimu mzima kama CB....Halafu Rojo akawa backup au kupokezana na Shaw

Baada ya Shaw kurudi kwenye kiwango chake na timu kuwa na viungo wa kutosha sasa analazimisha kwa kumuweka mdutch mwenzake..
 
Louis van Gaal has insisted he will continue to ignore suggestions he should buy tall players in an attempt to stop Manchester United's set-piece frailties.
The Dutchman accepts that the diminutive stature of many of his players is one of the reasons his side has yet to win away from home this season, but is adamant the answer does not lie in the transfer market.
United conceded last week when Rafael da Silva ended up marking Chelsea's Didier Drogba, who is five inches taller than him, at a corner, and they encounter another sizeable side in 's Manchester derby. Vincent Kompany, Eliaquim Mangala, Yaya Touré and Edin Dzeko are all at least 6ft 2in, and could giveManchester City a similar aerial supremacy.
Van Gaal said: "We have it very difficult in set plays but that is because of the height of our team. Maybe you can advise me then to buy tall players, but I am not like that." He studied the statistics as he shrugged off City's height advantage, saying: "They scored only once from a set play [this season]. We did more."
United have conceded seven goals in their past two away games, while CSKA Moscow, West Ham and Newcastle have all scored twice against City in the past fortnight – meaning both defences have been criticised. Manuel Pellegrini accepts United have had difficulties at the back and he City manager said: "We don't know if they'll continue to be weak at defending or continue to be strong in attacking."
The United centre-back Marcos Rojo admitted that the back four can be exposed by their expansive game, arguing a commitment to attack is vital. "We go out to win every match, as is our duty at United," he said. "That does imply a certain amount of risk-taking: you have to play high up and take your chances. We accept that the team has to play high, but we set out to win and that is what we'll be doing."


Rojo, a £16m signing from Sporting Lisbon in August, will be charged with stopping his fellow countryman Sergio Agüero. The United defender and the City striker were team-mates as Argentina reached the World Cup final this summer but have never lined up in opposition before.
Agüero struck four times in his last league game at the Etihad Stadium, against Tottenham, and has the best goals-per-minute ratio in Premier League history. Rojo warned the City top scorer to expect the close attentions of the United defence in a physical contest.
"He is one of the top players in the world," he said. "He can be overcome, but it will take a great effort. You have to stick close to him and be very attentive. Certainly, in the penalty area, he is a very quick mover and gets into position very quickly. He can be controlled, but it is up to us to keep an eye on where he is at all times, and get into him with a degree of firmness.
"It will be a hard game, and you have to play in a hard way. I don't mean go crunching in, but a tough way. You have to play with close marking and strong tackles."
Rojo joked that Agüero was scared when the City striker missed a promotional event involving both, but vowed to put their friendship aside for 90 minutes. He explained: "You might exchange the odd word during the game but generally with opponents, you tend to forget if it is a friend or compatriot. He's City. We're United. And that's it. You put all that behind you; you go out there for the team, and winning is everything."
The 24-year-old was the sole centre-back signed during a summer when United lost Rio Ferdinand and Nemanja Vidic, their long-term partnership, and the Argentinian came to Van Gaal's attention as a left-back in the World Cup. "The coach certainly knows that I'm very happy to play in both positions – I can play left or central," Rojo said. "At the moment I am playing more centrally, but I'll happily play on the left."
City have emerged victorious in five of the past six league derbies, but Rojo countered: "Historically, you have to say United have been superior."

Mkuu rubaman labda hii mada toka The Guardian inaweza kukusaidia kiduchu na kuelewa ninasema nini.


Kisoka Full backs huwa hawahitajiki kuwa warefu. Gary Neville, Evra, Dennis Irwin, daniel alves, roberto Carlos, Ashley Cole, Bacary Sagna,Nigel Winterburn wote walikuwa wachezaji wafupi kimo sawia au kinachomkaribia huyo jamaa.. In fact Roberto Carlos ni mfupi zaidi na bado ni mmoja wa FB mahiri waliowahi kutamba sokani.
 
Louis van Gaal has insisted he will continue to ignore suggestions he should buy tall players in an attempt to stop Manchester United's set-piece frailties.
The Dutchman accepts that the diminutive stature of many of his players is one of the reasons his side has yet to win away from home this season, but is adamant the answer does not lie in the transfer market.
United conceded last week when Rafael da Silva ended up marking Chelsea's Didier Drogba, who is five inches taller than him, at a corner, and they encounter another sizeable side in 's Manchester derby. Vincent Kompany, Eliaquim Mangala, Yaya Touré and Edin Dzeko are all at least 6ft 2in, and could giveManchester City a similar aerial supremacy.
Van Gaal said: "We have it very difficult in set plays but that is because of the height of our team. Maybe you can advise me then to buy tall players, but I am not like that." He studied the statistics as he shrugged off City's height advantage, saying: "They scored only once from a set play [this season]. We did more."
United have conceded seven goals in their past two away games, while CSKA Moscow, West Ham and Newcastle have all scored twice against City in the past fortnight – meaning both defences have been criticised. Manuel Pellegrini accepts United have had difficulties at the back and he City manager said: "We don't know if they'll continue to be weak at defending or continue to be strong in attacking."
The United centre-back Marcos Rojo admitted that the back four can be exposed by their expansive game, arguing a commitment to attack is vital. "We go out to win every match, as is our duty at United," he said. "That does imply a certain amount of risk-taking: you have to play high up and take your chances. We accept that the team has to play high, but we set out to win and that is what we'll be doing."


Rojo, a £16m signing from Sporting Lisbon in August, will be charged with stopping his fellow countryman Sergio Agüero. The United defender and the City striker were team-mates as Argentina reached the World Cup final this summer but have never lined up in opposition before.
Agüero struck four times in his last league game at the Etihad Stadium, against Tottenham, and has the best goals-per-minute ratio in Premier League history. Rojo warned the City top scorer to expect the close attentions of the United defence in a physical contest.
"He is one of the top players in the world," he said. "He can be overcome, but it will take a great effort. You have to stick close to him and be very attentive. Certainly, in the penalty area, he is a very quick mover and gets into position very quickly. He can be controlled, but it is up to us to keep an eye on where he is at all times, and get into him with a degree of firmness.
"It will be a hard game, and you have to play in a hard way. I don't mean go crunching in, but a tough way. You have to play with close marking and strong tackles."
Rojo joked that Agüero was scared when the City striker missed a promotional event involving both, but vowed to put their friendship aside for 90 minutes. He explained: "You might exchange the odd word during the game but generally with opponents, you tend to forget if it is a friend or compatriot. He's City. We're United. And that's it. You put all that behind you; you go out there for the team, and winning is everything."
The 24-year-old was the sole centre-back signed during a summer when United lost Rio Ferdinand and Nemanja Vidic, their long-term partnership, and the Argentinian came to Van Gaal's attention as a left-back in the World Cup. "The coach certainly knows that I'm very happy to play in both positions – I can play left or central," Rojo said. "At the moment I am playing more centrally, but I'll happily play on the left."
City have emerged victorious in five of the past six league derbies, but Rojo countered: "Historically, you have to say United have been superior."

Mkuu rubaman labda hii mada toka The Guardian inaweza kukusaidia kiduchu na kuelewa ninasema nini.

Tatizo la hapo ni yupi wa kumpick yupi kulingana na size. Mambo ya kutokuwa attentive kupanga tolu kwa tolu. Inatokea hasa katika kona usipokuwa makini. Lakini overall FB huwa wanakuwa wafupi 5'6"-5'10" sababu wanatakiwa kupanda na kushuka kwa kasi. Katika Soka wachezaji warefu zaidi ya futi 6 mara nyingi hawawi na speed/pace kulinganisha na wenye kimo cha wastani. Angalia timu nyingi utagundua hili mkuu.
 
Huyu LVG kwa kweli mimi sina imani naye kabisaaaaaa! Na anazidi kunivuruga kabisa,mtu mwenyewe anakaa OT miaka mitatu lakini ona anavyovuruga timu!!! Sasa kuna sababu gani ya kumuuza RAFAEL?? Angemuweka benchi tu kama alivyofanya msimu huu!!! Kwa akili ya huyu kocha hatupati kombe lolote mpaka aondoke!
Its sad kuona Rafael anaondoka huyu pamoja na kuwa ametokea Brazil lakini alikuwa anajituma utafikiri ni muingereza aliyezaliwa Manchester
but sio sahihi kuwa na mchezaji haumtumii na unamweka benchi hii haina faida kwa klabu wala kwa mchezaji mwenyewe unakuwa unamlipa mshahara wa bure na unaharibu career yake,anaweza asifanikiwe United but akafanikiwa kwenye timu nyingine
Theory ya kubadilisha makocha sio kitu kizuri hasa kwa wachezaji wakubwa,pressure ya kuleta mafanikio ni kubwa so wengi hawataki ku-risk kuchezesha wachezaji chipukizi
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Huyu mkaburu wetu anachoniboa ni kuropokaropoka kwenye media kwa ishu nyingine ambazo azina ulazima, na mpaka sasa ivi sijaelewa anatafuta nini kwa kitendo chake cha kumpanga blind kati..

Kama atafanya hivyo itakuwa ni mistake kubwa,LVG CB wake mmoja huwa anatumia mguu wa kushoto mwingine kulia so kulia (Smalling,Jones,McNair) kushoto (Rojo,Blackett) nafikiri Blind alichezeshwa CB sababu Rojo amechelewa kuripoti pre-season so ikabidi Blind achezeshwe kati na usajili wa Bastian na Morgan utapunguza nafasi ya Blind kucheza kiungo
 
Hatujachelewa tumtakie heri ya kuzaliwa, Happy birthday Valencia....
 

Attachments

  • 1438709101788.jpg
    1438709101788.jpg
    25.7 KB · Views: 158
Ni Habari njema somehow......#haters walikuwa wanatalk talk sana juu ya Young......
 

Attachments

  • 1438709447074.jpg
    1438709447074.jpg
    42.6 KB · Views: 168
  • Thanks
Reactions: Nzi
Now van gal atupe CB mmoja cuz tupo ovyo sana kwenye beki, Huyu dg jones wa Everton ni big deal... Anajua majukumu yke
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1438714714.877510.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1438714714.877510.jpg
    71.4 KB · Views: 141
sasa jamani huyo nae ni mchezaji wa kujitapa nae?! ......... hahahahahaha

#Haters tumewazoea na maneno yenu mingi mingi....hiyo ni notification tu kwamba haondoki,juzi si mlikuwa mnatucheka kwamba wachezaji wanatukimbia kina Young,DDG,ADM leo umeshageuza tena sentensi amaaaaa!!!!!.......
 
Van gaal must deliver, tunataka ndoo, kachukua a lot of things from us, our style of play kwa mfanoooo, kanunua every players he see fit in his so called philosophy, the least he can give us is a title. PERIOD!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Van gaal must deliver, tunataka ndoo, kachukua a lot of things from us, our style of play kwa mfanoooo, kanunua every players he see fit in his so called philosophy, the least he can give us is a title. PERIOD!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ndoto za hangover
 
Back
Top Bottom