Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Aisee una kiburi cha kuongea hivi kwa kumfunga chelsea moja bila au ni nini kinakufanya uwe kiburi? Mimi nimekuuliza kwa hiyo unamshauri wenger asisajiri? Jibu ili niihifadho comment yako alafu kabla ya januari nikukumbushe

Kusajili au kutosajil ni aftermath lakini usifananishe man yumbu na Arsenal man yumbu ni bahat na sibu kugombea nafas ya nne
 
Aisee una kiburi cha kuongea hivi kwa kumfunga chelsea moja bila au ni nini kinakufanya uwe kiburi? Mimi nimekuuliza kwa hiyo unamshauri wenger asisajiri? Jibu ili niihifadho comment yako alafu kabla ya januari nikukumbushe

Tunajua ndio mana
 
Tunajua ndio mana

Sasa nakuambia hivi wenger huu ndio msimu wake wa mwisho na hasa pale atakapojikuta katoka namba tatu mpaka kurudi nafasi yake ya nne. Awa ndio wachezaji wale wale wa msimu uliopota na hapo ao ni spana mkononi akiumia tu 3month out na mbaya zaidi kwa sasa unahisi kama upo vizuri lakini ngoja vita ianze ndio utashangaa unayaona mapengo kibao
 
Kwanini uumie roho arsenal kuwa sawa

Mimi siumi roho ila nakushangaa wewe umeenda Old Traffod na kuchukua kipaza sauti na kusema "Arsenal ipo vizuri kuliko Man U" vinginevyo uwe umechanganyikiwa Traffod ukahisi ni Emirates
 
Mimi siumi roho ila nakushangaa wewe umeenda Old Traffod na kuchukua kipaza sauti na kusema "Arsenal ipo vizuri kuliko Man U" vinginevyo uwe umechanganyikiwa Traffod ukahisi ni Emirates

Tusikimbiane hapa
 
Ma-haters naona mnachukia kuona jua kuchomoza kwetu wakati kwenu linazidi kuzama kama mpo pluto. Nipo active hapa kwa sana hata kabla ya kumpiga Chelsea juzi. Nafurahia kuona baadhi yenu mmeanza kuona jinsi gani LVG anavyoshindilia kapu la pension lake. Nakapanya aliwaambia juzi juzi kuwa LVG anawalostisha mkamjia juu lakini jinsi siku zinavyozidi kwenda wengine wanaanza kukubaliana na Nakapanya

CC everlenk, DonDonald
 
Tusikimbiane hapa

Mbwa mkimbize kokote uko mtaani atakimbilia kwao na akifika kwao ata kama uyo mbwa ni koko basi wewe ni heri usisogee pale kwao maana hatokua na pa kukimbilia zaidi na kitakachofuata ni wewe kushangazwa jinsi anavyokua mkali. Hapa nilikua namaanisha nitakimbia majukwaa mengine uko lakini sio hapa "HOME"
 
Mbwa mkimbize kokote uko mtaani atakimbilia kwao na akifika kwao ata kama uyo mbwa ni koko basi wewe ni heri usisogee pale kwao maana hatokua na pa kukimbilia zaidi na kitakachofuata ni wewe kushangazwa jinsi anavyokua mkali. Hapa nilikua namaanisha nitakimbia majukwaa mengine uko lakini sio hapa "HOME"

Kinachowafelisha ni kutotambua source ya tatizo la kuvurunda mnajipa moyo kwa kudai mkisajiri mambo yatakua Sawa nakumbuka last season mlisema haya haya so Leo mnadai ya last season mnasahau tatizo ni LVG
 
Kinachowafelisha ni kutotambua source ya tatizo la kuvurunda mnajipa moyo kwa kudai mkisajiri mambo yatakua Sawa nakumbuka last season mlisema haya haya so Leo mnadai ya last season mnasahau tatizo ni LVG

Wew ndo roooo***ooboo kweli...tuache na united yetu...ivi.kwanin ww povu linakutoka!??
 
Ma-haters naona mnachukia kuona jua kuchomoza kwetu wakati kwenu linazidi kuzama kama mpo pluto. Nipo active hapa kwa sana hata kabla ya kumpiga Chelsea juzi. Nafurahia kuona baadhi yenu mmeanza kuona jinsi gani LVG anavyoshindilia kapu la pension lake. Nakapanya aliwaambia juzi juzi kuwa LVG anawalostisha mkamjia juu lakini jinsi siku zinavyozidi kwenda wengine wanaanza kukubaliana na Nakapanya

CC everlenk, DonDonald

Hahahahaha yaani wewe rubaman na Wenger wako wala hamnipi presha kabisaaaaa!!!, umeshinda juzi ishakuwa tabu hatuli hatunywi nyimbo ni tuko vizuri, safari ya matumaini nishakupa baraka zangu katika hilo sina tabu kabisa nawe.

Nina imani na timu yangu hizi nyimbo zenu wasagasumu tushazoea, die hard fan yoyote wa Man U hana presha, kila mtu ni mtazamo wake anavyoona........halafu nasikia Wilshere atakosa miez 3 mshaanza Majeruhi kama kawaida yenu safari ya matumaini itaendeka kweli??
 
Last edited by a moderator:
Di maria anasema et psg ni team kubwa kuliko man u kumbe ni mjinga sana...
 
Hahahahaha yaani wewe rubaman na Wenger wako wala hamnipi presha kabisaaaaa!!!, umeshinda juzi ishakuwa tabu hatuli hatunywi nyimbo ni tuko vizuri, safari ya matumaini nishakupa baraka zangu katika hilo sina tabu kabisa nawe.

Nina imani na timu yangu hizi nyimbo zenu wasagasumu tushazoea, die hard fan yoyote wa Man U hana presha, kila mtu ni mtazamo wake anavyoona........halafu nasikia Wilshere atakosa miez 3 mshaanza Majeruhi kama kawaida yenu safari ya matumaini itaendeka kweli??

I see arsenal after silver ware
 
Last edited by a moderator:
Asa ulitaka asemaje? Kwa mfano??

huyu jamaa siku nzima ya leo kashinda humu jukwaani wakati jukwaa lao kule halieleweki hata liliko,
#haters katika ubora wenu. kama unaiamini timu yako kwann unahangaika Ku critisize wenzio badala ya kusubiri muda uwa prove wrong kwa wanachongea. kuna wengine kwenye majukwaa yenu mna comment mbili tu lakini humu ndio mnao jaza na kuongeza page.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Man utd will either face club Brugge, CSKA Moscow, lazio , Monaco or rapid Vienna in ucl play offs.. OFFICIAL... Play off draw tar 7
 
Back
Top Bottom