Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

We wish you all the best, you always give 100% for the team
 

Attachments

  • 1438587304891.jpg
    1438587304891.jpg
    28.4 KB · Views: 123
  • 1438587334685.jpg
    1438587334685.jpg
    32.9 KB · Views: 115
Lvg akizingua mwaka huu lazima asepe, huwezi kuwauza wachezaji kizembe zembe kiasi hichi.. roho imeniuma sana rafael kusepa alafu unamuacha evans?? Lvg kweli??.. da silva anajua thn bado mdogo, i no wonder nikisikia rooney is next
 
Lvg akizingua mwaka huu lazima asepe, huwezi kuwauza wachezaji kizembe zembe kiasi hichi.. roho imeniuma sana rafael kusepa alafu unamuacha evans?? Lvg kweli??.. da silva anajua thn bado mdogo, i no wonder nikisikia rooney is next

Kwa rafael ata mimi uwa sielewi kabisa maana me uyu dogo ckupenda aondoke kwa kweli ila ndio hivyo tena. Kwa huu usajili uliofanyika lvg hasipotumia akili ya ziada ili apate ata kombe atafungashiwa vilago vyake amuulize wenger kwa nini uwa anaogopa kusajiri...wenger kichaka anachojifichia ndio hicho hasajiri sana anajua akisajili vya kutosha then team ikaishia ya 4 basi anakuta vitu vyake mlangoni
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
rafaeli da Silva kachagua jezi namba 20 Lyon sababu ndio idadi ya makombe aliyoiacha nayo manchester: top guy
 
Huyu LVG kwa kweli mimi sina imani naye kabisaaaaaa! Na anazidi kunivuruga kabisa,mtu mwenyewe anakaa OT miaka mitatu lakini ona anavyovuruga timu!!! Sasa kuna sababu gani ya kumuuza RAFAEL?? Angemuweka benchi tu kama alivyofanya msimu huu!!! Kwa akili ya huyu kocha hatupati kombe lolote mpaka aondoke!
 
Daah...Kila Nimuonapo Cleverley Machozi Yananilenga. Leo hii yupo Everton...maisha yapo kasi sana. Kuna wakati tuliaminishwa ni mrithi wa Paul Scholes. Sijui nini kilimsibu???

Tom alituangusha mwenyewe.
alipewa nafasi akashindwa kuitumia. Tunahitaji timu yenye ushindani na kocha anachokifanya kwa sasa ni kubadili mazoea ya ku relax badala ya kupigania nafasi kikosini. Inashangaza wachezaji kama Anderson, Clecery wameshindwa kucheza ktk viwango endelevu licha ya kuwa na umri mdogo
 
Jamani mbona tunapenda kulalamika wakati facts zinambeba LVG.

Dogo Rafael kakumbwa na majeruhi muda mrefu kiasi kwamba maendeleo yake yamerudi nyuma badala ya kusonga mbele.

1. Rafael amekuwa akifanya makosa mengi ambayo yanaigharimu timu kubwa zaidi ni kutokuwa katika nafasi nzuri wakati timu inashambuliwa.

2. Rafael ni mfupi sana (1.72 cm) na hii limekuwa tatizo hasa mipira ya juu inayotoka kushoto kwenda kulia mara nyingi akiwa na mshambuliaji mrefu timu inafungwa kirahisi sana.Hapa nazungumzia ligi ya UK akienda nchi nyingine kama France anaweza kuonyesha makeke yake kwakuwa mpira wa kule ni tofauti na UK

3. Majeruhi ya mara kwa mara ni sababu kubwa ya kuuzwa kwake.Mwaka jana amecheza mechi 11 tu hali iliyomlazimisha LvG amtumie zaidi Valencia kama RB.
Takwimu hazidanganyi.
A. 2008 - 2009 kacheza jumla ya mechi 28
B. 2009 - 2010 kacheza jumla ya mechi 16
C. 2010 - 2011 kacheza jumla ya mechi 28
D. 2011 - 2012 kacheza jumla ya mechi 18
E. 2012 - 2013 kacheza jumla ya mechi 40 *
F. 2013 - 2014 kacheza jumla ya mechi 28
G. 2014 - 2015 kacheza jumla ya mechi 11

Ukitazama takwimu vizuri msimu wa mwaka 2012 - 2013 ndio alicheza mechi nyingi zaidi bila majeraha na maendeleo yake yalikuwa mazuri sana.Tangu ajiunge Manchester United mwaka 2008 msimu uliomalizika ndio alicheza mechi chahce zaidi.Timu lazima isonge mbele Rafael ni moja ya wachezaji wazuri na wapiganaji wakubwa lakini muda wake Man unatosha.
 
Rafael tunamuona tangu mtoto tumevumilia makosa yake kibao sasa hivi anaanza ku mature huyu LVG anamuuza!!!!

LVG akitaka kupunguza hasira za wana united alete makombe kila mwaka. Akianza kufungwa mechi kizembe kila mechi mabango yatazunguka uwanjani "Lvg Out".
Kuondoka kwa rafael kumeniuma sana. Ukizingatia ukuta wetu ni wa biskuti.
 
Huyu LVG kwa kweli mimi sina imani naye kabisaaaaaa! Na anazidi kunivuruga kabisa,mtu mwenyewe anakaa OT miaka mitatu lakini ona anavyovuruga timu!!! Sasa kuna sababu gani ya kumuuza RAFAEL?? Angemuweka benchi tu kama alivyofanya msimu huu!!! Kwa akili ya huyu kocha hatupati kombe lolote mpaka aondoke!

Naona anahesabu za kuwa ataendelea kuwepo pale zaidi ya miaka 3, ila rafael majeruhi ndo yamemkost
 
Huyu mkaburu wetu anachoniboa ni kuropokaropoka kwenye media kwa ishu nyingine ambazo azina ulazima, na mpaka sasa ivi sijaelewa anatafuta nini kwa kitendo chake cha kumpanga blind kati..
 
Back
Top Bottom