everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Kuna dalili kubwa za Di Maria kuuzwa
Ngoja tuwe wapole tusubiri kama kuna lolote......
Kuna dalili kubwa za Di Maria kuuzwa
Kuna kitu naona kinaboa kwenye uzi huu...to the extent unakaribia kupeta maana yake...naamini lengo kuu lilikua kutukutanisha mashabiki wa Manchester united tupeshane habari, tujadili mstakabadhi wa temu yetu na wakati flani kuitetea timu yetu inapobidi dhidi ya watani wa jadi e.g liverfoolz na wengine.
Sasa cha kushangaza siku hizi tunapoteza maana naona humu kumejaa watu kujibizana na kupeana personal attacks ambazo hata hazihusiani na mpira na kunawengine wamegeuza uzi huu ni wa kutuma salamu na chit chat na mambo mengine binafsi na yasiyo ya Manchester au mpira kwa ujumla.
Nafahamu kuna wachangiaji wazuri sana humu na wadau wakuu sana wa uzi ambao toka kitambo wapo na uzi lakini siku hizi naona wamepotea ghafla..pengine wanaona uzi unaanza kupoteza maana.
Ni rai yangu kwa sisi wadau na wapenzi wa Manchester na wa uzi huu ebu turudishe maana halisi ya uzi huu..kila mtu anauhuru wa kuongea na kuchangia atakavyo lakini uhuru bila mipaka ni fujo sasa.
Ni mtazamo wangu huu
Kuna habari za Pedro kutua Man United
Msikie LVG
Pereira ana future nzuri sana kuliko hata januzaj nilimuona kwenye world cup ya watoto cha muhimu apewe nafasi.
Samp, lo svincolato Romero firma
per il Manchester United
Il portiere della Nazionale argentina
si è accordato per un triennale da
1,8 milioni netti a stagione. In Italia
nelle scorse settimane l'avevano
corteggiato Inter e Roma
hawa jamaa LA gazzeta wanasema tumeshamsajili huyu goli kipa Sergio romelo kwa mkataba wa miaka mi tatu na atakua analipwa 1.8 mill kwa mwaka, let's wait and see maana sina hata mzuka nae
aisee!!inaweza kuwa ibra zlatan.na tutakuwa suprised kwa kweli.
Hivi Ibra atakuwa solution ya matatizo yetu kweli?
No lewandoski tu wa muda mrefu wazee hatuwataki