Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hahaha na bado utakuja sana tu....

nimekuja hilo changa la macho hilo.....kwanza nendeni mnajaza seva tu hapa


Uwiiii timu ya wazee unaenda? Unaijua Liverfool wewe? Huko ni mababu tu ndo yamejaa halafu ili uishabikie lazima uwe na moyo wa chuma maana kila siku ni vipigo.

Wazee wapo manwer kule kuna vija tupu umeona preseson vija wadogooo wako poa sana karibu ungalie mechi zetu utapenda
 
hahaha na bado utakuja sana tu....

nimekuja hilo changa la macho hilo.....kwanza nendeni mnajaza seva tu hapa


Uwiiii timu ya wazee unaenda? Unaijua Liverfool wewe? Huko ni mababu tu ndo yamejaa halafu ili uishabikie lazima uwe na moyo wa chuma maana kila siku ni vipigo.

Ukipenda boga unapenda na ua lake mama, Manga ML hebu twende liva kwetu baba, mweeeeh mbona ninalo jamani, hii timu duuuh!
 
Last edited by a moderator:
Nimeangalia mechi vs club America(recorded). dah tunahitaji beki wa kati sana, wangekaa vizuri wangetupiga hawa, wamecreate clear goal chances kama 3 ivi.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa haaa.

wew niheshimu mume wangu RRONDO yupo huku.

Ooh huyo ndio mume wa hili thread!! Rene jr ni wa thread gani? Viol je? Na....... list ndeefu hata nashindwa kuandika, okey mama kijacho, sasa sijui mimba hiyo nayo ni ya nani?
 
Last edited by a moderator:
Ooh huyo ndio mume wa hili thread!! Rene jr ni wa thread gani? Viol je? Na....... list ndeefu hata nashindwa kuandika, okey mama kijacho, sasa sijui mimba hiyo nayo ni ya nani?

Mweeeeh!!!!! Naota au ati unasemaje ana....??? Hao ni mabest tu anayejulikana ulimwengu mzima ni mmoja tu.....
 
Last edited by a moderator:
LVG kasema kuna suprise signing ya striker.
Hadi sasa kasema hakuna media iliyopata clue kuwa ni striker gani atasajiliwa.

aisee!!inaweza kuwa ibra zlatan.na tutakuwa suprised kwa kweli.
 
Hapana everlenkiiiiiiiii si unajua shost anaachwa leo ndo maanaa ana stress.
Lol ngoja nifunge mdomo akina herrera wasije wakanuna tunawajazia seva buleeee

Natulale sasa kesho kuna bonge la mechi asubuh saa 12 doooh!!! Muda wa kazi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom