everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Mimi naona siyo mbaya kuna improvement kwa baadhi ya wachezaji lakini kwa wengine bado wako likizo...vijana walikuwa hawana presha walerelax zaidi .....pia kuna chansi walipoteza hizo za Magoli zilitumika effectively,naona bado katikat shida ipo.
Last edited by a moderator: