Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Duuh sikuifatilia mechi lakini naona vijana wameshinda 3 moja.. vip mpira ulikuaje kwa upande wetu? Cc everlenk cute b

Mimi naona siyo mbaya kuna improvement kwa baadhi ya wachezaji lakini kwa wengine bado wako likizo...vijana walikuwa hawana presha walerelax zaidi .....pia kuna chansi walipoteza hizo za Magoli zilitumika effectively,naona bado katikat shida ipo.
 
Last edited by a moderator:
Mimi naona siyo mbaya kuna improvement kwa baadhi ya wachezaji lakini kwa wengine bado wako likizo...vijana walikuwa hawana presha walerelax zaidi .....pia kuna chansi walipoteza hizo za Magoli zilitumika effectively,naona bado katikat shida ipo.

I hope kadri siku zinavyokwenda watabadilika na kuna ile ya kudharau mechi kutocheza jihad kwa sababu ya kuhofia injury... si unajua bado kama 2 weeks hivi lig ianze.. bt lets wait n see.. in Man utd we do trust
 
Safi sana, sasa hilo goli moja walilipataje au ndo tatizo letu lile lile la beki?

Hapana sio tatizo la beki...
Yaani pale mpira walishaweza kuudhibit sema duu ikatokea mpira ule umeshutiwa kwa mchezaji aliyekuwa kat karibu na goli ambay alikuwa amekabwa vilivyo wakaanguka alafu ule utelezi wa kuanguka ukapeleka mpira nyavuni( hahahaaa najua umepata tabu kunielewa mkuu ila ndo ilivyokuwa)
 
Hapana sio tatizo la beki...
Yaani pale mpira walishaweza kuudhibit sema duu ikatokea mpira ule umeshutiwa kwa mchezaji aliyekuwa kat karibu na goli ambay alikuwa amekabwa vilivyo wakaanguka alafu ule utelezi wa kuanguka ukapeleka mpira nyavuni( hahahaaa najua umepata tabu kunielewa mkuu ila ndo ilivyokuwa)

Hahaha.. nimekuelewa mkuu ngoja nicheki highlights huku nikipata support na hichi ulichoniambia hapa
 
Duuh sikuifatilia mechi lakini naona vijana wameshinda 3 moja.. vip mpira ulikuaje kwa upande wetu? Cc everlenk cute b

Ile goli aliyofunga pereira na la 2 aliofunga memphis daaaah hayaelezeki nenda tu youtube ukajioneee
 
Last edited by a moderator:
Paris St-Germain have stepped up efforts to sign Man United winger Ángel Di María. They want a deal done this week. (Source: Telegraph)
 
Kuna kitu naona kinaboa kwenye uzi huu...to the extent unakaribia kupeta maana yake...naamini lengo kuu lilikua kutukutanisha mashabiki wa Manchester united tupeshane habari, tujadili mstakabadhi wa temu yetu na wakati flani kuitetea timu yetu inapobidi dhidi ya watani wa jadi e.g liverfoolz na wengine.
Sasa cha kushangaza siku hizi tunapoteza maana naona humu kumejaa watu kujibizana na kupeana personal attacks ambazo hata hazihusiani na mpira na kunawengine wamegeuza uzi huu ni wa kutuma salamu na chit chat na mambo mengine binafsi na yasiyo ya Manchester au mpira kwa ujumla.
Nafahamu kuna wachangiaji wazuri sana humu na wadau wakuu sana wa uzi ambao toka kitambo wapo na uzi lakini siku hizi naona wamepotea ghafla..pengine wanaona uzi unaanza kupoteza maana.
Ni rai yangu kwa sisi wadau na wapenzi wa Manchester na wa uzi huu ebu turudishe maana halisi ya uzi huu..kila mtu anauhuru wa kuongea na kuchangia atakavyo lakini uhuru bila mipaka ni fujo sasa.
Ni mtazamo wangu huu
 
Kuna kitu naona kinaboa kwenye uzi huu...to the extent unakaribia kupeta maana yake...naamini lengo kuu lilikua kutukutanisha mashabiki wa Manchester united tupeshane habari, tujadili mstakabadhi wa temu yetu na wakati flani kuitetea timu yetu inapobidi dhidi ya watani wa jadi e.g liverfoolz na wengine.
Sasa cha kushangaza siku hizi tunapoteza maana naona humu kumejaa watu kujibizana na kupeana personal attacks ambazo hata hazihusiani na mpira na kunawengine wamegeuza uzi huu ni wa kutuma salamu na chit chat na mambo mengine binafsi na yasiyo ya Manchester au mpira kwa ujumla.
Nafahamu kuna wachangiaji wazuri sana humu na wadau wakuu sana wa uzi ambao toka kitambo wapo na uzi lakini siku hizi naona wamepotea ghafla..pengine wanaona uzi unaanza kupoteza maana.
Ni rai yangu kwa sisi wadau na wapenzi wa Manchester na wa uzi huu ebu turudishe maana halisi ya uzi huu..kila mtu anauhuru wa kuongea na kuchangia atakavyo lakini uhuru bila mipaka ni fujo sasa.
Ni mtazamo wangu huu

Pole sana mkuu na samahani kama tumekukwaza,haya mambo wakati mwingine hayaepukiki unakuta mtu mko vizuri katika kujadili mambo yenu ghafla mtu anatoka alikotokea na anaanza kuchafua hali ya hewa humu mtu kama huyo kumvumilia ni ngumu,na wakati mwingine salaam haziepukiki maana hapa ni kisima cha burudani si kwetu tu hata katika wengine, katika yote we apologized for that and we will try to change.
 
Kuna kitu naona kinaboa kwenye uzi huu...to the extent unakaribia kupeta maana yake...naamini lengo kuu lilikua kutukutanisha mashabiki wa Manchester united tupeshane habari, tujadili mstakabadhi wa temu yetu na wakati flani kuitetea timu yetu inapobidi dhidi ya watani wa jadi e.g liverfoolz na wengine.
Sasa cha kushangaza siku hizi tunapoteza maana naona humu kumejaa watu kujibizana na kupeana personal attacks ambazo hata hazihusiani na mpira na kunawengine wamegeuza uzi huu ni wa kutuma salamu na chit chat na mambo mengine binafsi na yasiyo ya Manchester au mpira kwa ujumla.
Nafahamu kuna wachangiaji wazuri sana humu na wadau wakuu sana wa uzi ambao toka kitambo wapo na uzi lakini siku hizi naona wamepotea ghafla..pengine wanaona uzi unaanza kupoteza maana.
Ni rai yangu kwa sisi wadau na wapenzi wa Manchester na wa uzi huu ebu turudishe maana halisi ya uzi huu..kila mtu anauhuru wa kuongea na kuchangia atakavyo lakini uhuru bila mipaka ni fujo sasa.
Ni mtazamo wangu huu
 
​Louis van Gaal's revelation that Manchester United are chasing a 'secret' striker sent fans and media alike into a frenzy. 'Could it be Zlatan Ibrahimovic', some had the audacity to ask, while Bas Dost's name has also-popped up.-

But according to the-​Daily Mirror, it is Juventus target man Fernando Llorente, a former Athletic Bilbao-team-mate of Ander Herrera. The 30-year-old has struggled for regular playing time in Italy and is said to be looking for a move this summer.

However, Van Gaal has since claimed his 'mystery' target is not even a striker, so who even knows what to believe anymore.
 
Kuna dalili kubwa za Di Maria kuuzwa

Umeona eeh!! Vyombo vingi vya habari vimereport hiyo issue na wengine wanasema deal liko karibu kuwa closed. Sasa sijui ukweli ni upi? Sipend kabisa hilo litokee.
 
Umeona eeh!! Vyombo vingi vya habari vimereport hiyo issue na wengine wanasema deal liko karibu kuwa closed. Sasa sijui ukweli ni upi? Sipend kabisa hilo litokee.

Kuna habari za Pedro kutua Man United
 
Back
Top Bottom