Natulale sasa kesho kuna bonge la mechi asubuh saa 12 doooh!!! Muda wa kazi.
Natulale sasa kesho kuna bonge la mechi asubuh saa 12 doooh!!! Muda wa kazi.
Wewe huyo anae acha alioa lini au alijitangaza kuoa
HahahHa MKUU KESHO SAA 12 USITUSAHHAU KWENYE MAOMBI.
Glory glory man united
Uniamshe bhanaaa niwaone ila mpaka mechi za majaribio mnapanga full mkoko duh pangeni ata vjana wakesho kama sisi
Mbona walipangwa? walicheza dakika 45 za pili.
Nitakuwa macho mamy ila sijalipia dstv lol...
Sijui itakuwaje mb zenyew nane
Labda sikuona maana niliangalia na wenge
Wa lala nije naogopa kuikosa hii ya kesho
Poa poa tukutane saa 12.
Mummy Dstv nyoko balaa wamepandisha bei tena mimi juzi nalipia wanasema sijui laki na sabini sijui themanini sikutaka hata kuwauliza ikabidi niwaambie waniiunganishe na compact plus ambayo ni laki 34,pumb..avu zao waliniudhi kweli.....nitawahama soon
Lipeni tu ds azam preasison zoteee live
Azam wakianza kuonyesha na EPL ninawaaga dstv kabisaa
Wale wa East Africa amkeni tuangalie mechi
Wale wa East Africa amkeni tuangalie mechi