Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu, niko kwa sebule hapa na Azam tv chanell 404 .lakini siioni hiyo gem badala yake namuona Diego forlan tu na wajapani wake hapa, nipe maujanja jinsi gani naweza kuiona timu yetu?

mkuu mi na stream ila sijui jinsi ya kuweka link hapa, kama kuna anaeweza kunielekeza jinsi ya kuweka link
 
Rooooney...shuti linapita nje kidogo ya mlingoti wa goli
 
mkuu mi na stream ila sijui jinsi ya kuweka link hapa, kama kuna anaeweza kunielekeza jinsi ya kuweka link
Unatumia simu au PC??? ni easy tu mkuu unacopy link yote juu pale kwenye adress bar na kupaste sehemu unapoandika post/comment
 
Mzee mzima anapasha
 

Attachments

  • 1437192356396.jpg
    1437192356396.jpg
    53 KB · Views: 126
  • 1437192386030.jpg
    1437192386030.jpg
    50.8 KB · Views: 120
Nangoja kipindi ya pili ianze niicheki youtube daah na vimb vyangu 180
 
Back
Top Bottom