Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama falcao palimshinda hapo unawezaje kujenga Oman kua shwernstaiger atapaweza wakat wote wametua hapo kwa wazo la huyo mdachi???

Hivi Falcao ni Man U pamemshinda au yeye ndo pamemshindwa?

Ila jamaa tatizo sio Man U tatizo ni majeraha maana yalimsabibisha ku-flop kuanzia Monaco na hakuwa tena the same Falcao wa Atleti
 
Toka jana kuna watu humu wanatutafutia ban dawa yao kuwapuuza tu, watachonga sana sisi mwendo mdundo...

Tatizo wamezoea mipasho.
Jana nimemwona yule mwehu aliyekuwa anatusumbua mchana yupo celebrate anachamba kama mwanamke nikasikitika.
Kwa hiyo madam hawa ni wa kuwapuuza.
Ndo maana shemeji yako RRONDO alisema watu wabishe kwa vidhibitisho sio mtu ana panic kwa ku fuata upepo tuu..
 
Last edited by a moderator:
hayo maneno yako tu. ila utaelewa tu. mjiandae na timu zenu mwendo wa dozi tu

Sure ila nafikiri unaikumbuka leistercity vizur...current season zile 5 sasa ukuanza kutoa dozi anza na hao kina leistercity
 
Tatizo sio mipasho kwani ni uongo kua Manchester united ni mbovu??
 
Wishes zako hazitokuwa mzee. ...team sio mbaya kama wewe unavyotaka tukuamini hapa. ...unahukumu team kwa game moja tena imeshinda? Kumbuka league bado haijaanza so weka akiba ya maneno.

Man u inafoward gan ya kusisimua pale mbele?? Falcao?? Bastian?? Rooney the tehe aaaanh zile new sinnings kiungo gan hiyo.... Hakuna kitu inauma kama kuinject input kuuuubwa af output yake finyu
 
Tatizo wamezoea mipasho.
Jana nimemwona yule mwehu aliyekuwa anatusumbua mchana yupo celebrate anachamba kama mwanamke nikasikitika.
Kwa hiyo madam hawa ni wa kuwapuuza.
Ndo maana shemeji yako RRONDO alisema watu wabishe kwa vidhibitisho sio mtu ana panic kwa ku fuata upepo tuu..

Umeonaaa eeeh? Kuna wanaume humu nina wasiwasi na uanaume wao haki ya nani!!!............wacha wachonge sisi kama kawaida tutaongea na mpira,msimu uliopita walianza hivihivi Mara nafasi yenu ni ya 12,Mara 10 Mara 7 sisi tukasonga tu pamoja na udhaifu wote sembuse sasa watajibeba!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom