Asanteeeee!! Uko pouwa lkn?
It's a dream come true, to play for Manchester utd
kwahiyo wachezaji watakuja Man utd kwasababu ya LVG?kwangu mimi wachezaji watakuja Man utd kwasababu ya ukubwa na mafanikio ya klabu ya Man utd pamoja na malipo mazuri.
hodi humu ndani wadau wenzangu
Seba bado ajatia wino wanandugu?.
Wanaomponda LVG watulie wataelewa2 mcmu ukianza
Msimu uliopita ulikuwa ni msimu mgumu sana kwa kocha ikumbukwe tayari timu ilishapoteza fear factor hivyo kila timu hata timu ndogo zilishakua hazina hofu ya kukutana na Utd na kufanya mechi zote kuwa mechi ngumu