Nakapanya
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 2,096
- 709
pole ndugu yaani, kwahyo unamkompea Woodward na akina combe, FSG was liver?? Woodward alive mleta di maria kwa ada ya kuvunja British record, aliemleta falcao anmfananisha na yule alive waleta akina baloteli na lambert, we ni mpnz wa man u? huwa unafuatilia press conference za van gaal? naomba itafute press conference ya mwisho wa msimu usikie alichokisema, tatzo story za vijiweni zinatia watu pressure, wakati ndio kwaanza dirisha LA usajili limefunguliwa leo
Ndugu yangu hapa siyo suala la kufuatilia ama laa....umesema hawa mazombie waliwaleta Falcao,Dimaria kwa ada ya kuvunja rekodi sasa hebu niambie huyo Falcao na Di maria wamefanya nini?hao sawa na Baloteli uliyemtaja.Dirisha linafunguliwa leo sawa,Hata mwaka jana ilikuwa hivyohivyo wakaja kutuletea magarasa siku ya deadline.Kuhusu LVG alisemaje unaweza kunikumbusha coz Zombie yule kaongea mengi tu.