Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

ImageUploadedByJamiiForums1435751832.128576.jpg

Mpira utakaotumika EPL msimu wa 2015/2016
 
Kuna taarifa zilikuwa zinasema jamaa utd watakamilisha deal lake leo, ila mpaka sasa ivi akuna lolote, kumbe ni umbea tu, daah nimechoka na tetesi, wenzetu Liverpool wameshafanya usajili wa wachezaji 6 mpaka sasa, sisi makelele tu 😞😞😞
 
Kuna tetesi nimezisikia pia zikimuhusisha arda turan kuhamia man utd..
 
Kuna taarifa zilikuwa zinasema jamaa utd watakamilisha deal lake leo, ila mpaka sasa ivi akuna lolote, kumbe ni umbea tu, daah nimechoka na tetesi, wenzetu Liverpool wameshafanya usajili wa wachezaji 6 mpaka sasa, sisi makelele tu 😞😞😞

Hata usiumie mkuu tetesi zote ni media zaidi wanazirusha kila mchezaji mkali wanajaribu kumuhusisha na MU ,tutulie tu tutaona kina nani ambao watasajiliwa na si kusikiliza tetesi za media....
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Woodward na zombie wake LVG wamekaa kama masanamu tu,Liverpool wamejua kuwa wanamapungufu wameamua kuyafanyia kazi mapema ili wanapoenda pre-season wachezaji wakazoeane huku.Sisi zimebaki rumours tu kilasiku,wanasubiria siku za mwisho watuletee magarasa.Sehemu yenye matatizo makubwa ya kiungo wa kati na beki bado haijafanyiwa chochote mpaka sasa hivi,lakini angalia mjinga LVG anaenda kutuletea kina Depay ambao sio changamoto ya timu hivi sasa.Anataka kusajili forwad kina Kane,Benzema,Cavani...je striker ndiyo tatizo letu kuu kwa hivi sasa Man utd?sioni dalili zozote za wajinga hawa wawili kukiimarisha kikosi msimu huu kama inavyotakiwa.To hell LVG,to hell Woodward
 
Hata usiumie mkuu tetesi zote ni media zaidi wanazirusha kila mchezaji mkali wanajaribu kumuhusisha na MU ,tutulie tu tutaona kina nani ambao watasajiliwa na si kusikiliza tetesi za media....

I wish ningekuwa na uwezo niwe napelekaga mbele iki kipindi, maana kila kikifika tutahusishwa na kila mchezaji ulaya, Man United ishakuwa deal kwa mawakala sasa ivi wanaitumia kuuzia wachezaji wao
 
Woodward na zombie wake LVG wamekaa kama masanamu tu,Liverpool wamejua kuwa wanamapungufu wameamua kuyafanyia kazi mapema ili wanapoenda pre-season wachezaji wakazoeane huku.Sisi zimebaki rumours tu kilasiku,wanasubiria siku za mwisho watuletee magarasa.Sehemu yenye matatizo makubwa ya kiungo wa kati na beki bado haijafanyiwa chochote mpaka sasa hivi,lakini angalia mjinga LVG anaenda kutuletea kina Depay ambao sio changamoto ya timu hivi sasa.Anataka kusajili forwad kina Kane,Benzema,Cavani...je striker ndiyo tatizo letu kuu kwa hivi sasa Man utd?sioni dalili zozote za wajinga hawa wawili kukiimarisha kikosi msimu huu kama inavyotakiwa.To hell LVG,to hell Woodward

pole ndugu yaani, kwahyo unamkompea Woodward na akina combe, FSG was liver?? Woodward alive mleta di maria kwa ada ya kuvunja British record, aliemleta falcao anmfananisha na yule alive waleta akina baloteli na lambert, we ni mpnz wa man u? huwa unafuatilia press conference za van gaal? naomba itafute press conference ya mwisho wa msimu usikie alichokisema, tatzo story za vijiweni zinatia watu pressure, wakati ndio kwaanza dirisha LA usajili limefunguliwa leo
 
Woodward na zombie wake LVG wamekaa kama masanamu tu,Liverpool wamejua kuwa wanamapungufu wameamua kuyafanyia kazi mapema ili wanapoenda pre-season wachezaji wakazoeane huku.Sisi zimebaki rumours tu kilasiku,wanasubiria siku za mwisho watuletee magarasa.Sehemu yenye matatizo makubwa ya kiungo wa kati na beki bado haijafanyiwa chochote mpaka sasa hivi,lakini angalia mjinga LVG anaenda kutuletea kina Depay ambao sio changamoto ya timu hivi sasa.Anataka kusajili forwad kina Kane,Benzema,Cavani...je striker ndiyo tatizo letu kuu kwa hivi sasa Man utd?sioni dalili zozote za wajinga hawa wawili kukiimarisha kikosi msimu huu kama inavyotakiwa.To hell LVG,to hell Woodward

Bado 2 months mkuu, ndo kwanza dirisha limefunguliwa rasmi..
 
pole ndugu yaani, kwahyo unamkompea Woodward na akina combe, FSG was liver?? Woodward alive mleta di maria kwa ada ya kuvunja British record, aliemleta falcao anmfananisha na yule alive waleta akina baloteli na lambert, we ni mpnz wa man u? huwa unafuatilia press conference za van gaal? naomba itafute press conference ya mwisho wa msimu usikie alichokisema, tatzo story za vijiweni zinatia watu pressure, wakati ndio kwaanza dirisha LA usajili limefunguliwa leo

Kunywa ka pepsi kabaridi huko uliko nakuja kulipa...... Au uko Mbeya? Kunywa Kahawa.....lol.......jamani hizi media zisituvuruge mimi naamini ukimya wetu una mshindo mkuu, klabu zote wanahaha wanataka kujua MU inaingiza nani na nani, wacha wajivuruge tu wakiwa wanakisia kwamba fulani ndo anaenda MU.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
I wish ningekuwa na uwezo niwe napelekaga mbele iki kipindi, maana kila kikifika tutahusishwa na kila mchezaji ulaya, Man United ishakuwa deal kwa mawakala sasa ivi wanaitumia kuuzia wachezaji wao

Mimi ndo maana hata sijali nimejizamisha kisawasawa Copa America staki umbea wao.... Licha ya mawakala pia MU ni gumzo na tishio kwa klabu nyingine so wanazitumia media kuchokonoa kujua ni nani na nani wanaingia.
 
De gea kashamalizana na madrid muda si ata tangazwa rasmi kama mchezaji wa madrd..so usitegemee kumuona jumatatu man u wakianza mazoezi...
 
Apparently atleti wants gaitan to replace
Turan.
What's the bet that tomorrow's headline
would be 'gaitan rejects United to join
atleti to replace Turan who had earlier
rejected United himself'
Edit - they would add at the end of the
article 'ps - shaqiri rejects them
 
Kuna taarifa zilikuwa zinasema jamaa utd watakamilisha deal lake leo, ila mpaka sasa ivi akuna lolote, kumbe ni umbea tu, daah nimechoka na tetesi, wenzetu Liverpool wameshafanya usajili wa wachezaji 6 mpaka sasa, sisi makelele tu 😞😞😞

Woodward na zombie wake LVG wamekaa kama masanamu tu,Liverpool wamejua kuwa wanamapungufu wameamua kuyafanyia kazi mapema ili wanapoenda pre-season wachezaji wakazoeane huku.Sisi zimebaki rumours tu kilasiku,wanasubiria siku za mwisho watuletee magarasa.Sehemu yenye matatizo makubwa ya kiungo wa kati na beki bado haijafanyiwa chochote mpaka sasa hivi,lakini angalia mjinga LVG anaenda kutuletea kina Depay ambao sio changamoto ya timu hivi sasa.Anataka kusajili forwad kina Kane,Benzema,Cavani...je striker ndiyo tatizo letu kuu kwa hivi sasa Man utd?sioni dalili zozote za wajinga hawa wawili kukiimarisha kikosi msimu huu kama inavyotakiwa.To hell LVG,to hell Woodward

Nyiye hadi mnatia huruma.. one cater unafananisha United na Loserfools katika usajili?!? Huyu mwingine anakejeli usajili wa Depay!!

Kuna uwezekano mkubwa nyiye mnasikiliza stori za vijiweni. Mnajipa presha bure tu..

Ningewashauri tu, angalau msome na kupata taarifa toka Sky Sports; hawa wanaweza kuwa na taarifa za uhakika kiasi kikubwa.

Jambo la mwisho sasa ndipo kipindi cha rumour mills kufanya kazi na kuuza habari kwenye hard print, na kupata followers wengi kwenye social media. Hivyo hizo haziepukiki, ukizingatia United ni moja ya timu tatu kubwa zaidi duniani, na yenye mashabiki wengi kuliko timu yoyote duniani.

Relax lads....
 
Last edited by a moderator:
De gea kashamalizana na madrid muda si ata tangazwa rasmi kama mchezaji wa madrd..so usitegemee kumuona jumatatu man u wakianza mazoezi...
El Confidencial writes today that de Gea
doesn't want to go to Madrid while Iker is
in the team.They say that was her mother
who said to Jorge Mendes.The contract
would be 30 m€ after tax in 5 years +
bonus.Madrid is willing to pay to Iker 14
€after tax to finish the contract but Iker
wants a team in C.L and 7m€ net.Roma
offered 3.5 but was not enough for
him.Fenerbahce offered 7 but he didn't
like the idea,besides he wants to play the
next Euro and he needs
minutes,therefore should look for some
solution in the next days
but j3 atakuwepo mazoezini kwa mujibu wa taarifa
 
Back
Top Bottom