Hiyo game ya leo, Goons wana kila dalili za kushinda. Game siyo 'betable' katika anga zangu....
Mtandao wa Wikipedia umeonyesha kuwa Beki Otamendi amsaini kujiunga na Man U
Source: CAUGHTOFFSIDE
valencia wanaweka ngumu lakn yeye kawambia wenzake kwamb anataka kucheza epl especialy man utd,
lets wait untill copa america ndio tutapata majibu
valencia wanaweka ngumu lakn yeye kawambia wenzake kwamb anataka kucheza epl especialy man utd,
lets wait untill copa america ndio tutapata majibu
Wee jamaa ni mwoga kinoma. Finals huwa hazitabiriki.
Wee jamaa ni mwoga kinoma. Finals huwa hazitabiriki.
Mkuu sn tu! Maana mwezi Wa nane mbali sn. Bila story au matani hatufiki Leo!
Come On Villa..... Benteke leo atafanya price tag yake ipande sana lol
Nasikia mnamnyemelea kwa £50M awe Falcao 2.0
Hawa villa afadhali kuangalia mechi ya Ndada FC vs JKT Ruvu
Hahahaaaa umetisha mkuu....NFC na JKT RUV unaonyeshwa chaneli gani na mimi nikaangalie...
Nimepoteza muda wangu kuangalia timu ya kichovu Villa ikicheza.... hii timu sijui ilifikaje Final
Kulikuwa na bonge la mechi kati ya Ndada na JKT DTV walikuwa wanaonyesha lol
Congratulations for another trophyless season to you all...