everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
duh, pole sana falcao, hata valencia hawamtaki, 76% ya mashabiki wamemkataa, 24% ndio wamemkubali
![]()
Mimi naona Falcao anafaa kwenda Italy huko ndo atavuma.
duh, pole sana falcao, hata valencia hawamtaki, 76% ya mashabiki wamemkataa, 24% ndio wamemkubali
![]()
Mimi naona Falcao anafaa kwenda Italy huko ndo atavuma.
Nipo mkuu...ligi imeisha...mambo yamepooza...
dah, wale watu wametokea kumuamini sana Bruce, licha ya kuwashusha daraja lakini bado wamemuongezea mkataba
Nzi naona unaogopa kubet mechi ya kesho FA Cup final, the bet is off.
Ni kweli kaka lkn kidogo kidogo tuwe tunapiga story!
Unapenda story ehh?
Mkuu sn tu! Maana mwezi Wa nane mbali sn. Bila story au matani hatufiki Leo!
Mambo pouwa kabisa!
cute b ntakucheki badae kidogo Niko na udhuru my dear samahani kwa usumbufu.
hiyo game ya leo, goons wana kila dalili za kushinda. Game siyo 'betable' katika anga zangu....