DonDonald
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,542
- 2,741
Hahahaaa siku nyingine uwe unanishtua mkuu. Maana hii ya leo ni netball sio footbal
Dah kweli next time hatutaangalia mipira ya timu za kichovu hivi
Hahahaaa siku nyingine uwe unanishtua mkuu. Maana hii ya leo ni netball sio footbal
Congratulations for another trophyless season to you all...
Nimepoteza muda wangu kuangalia timu ya kichovu Villa ikicheza.... hii timu sijui ilifikaje Final
Kulikuwa na bonge la mechi kati ya Ndada na JKT DTV walikuwa wanaonyesha lol
Ahhh!! Pole sana kuna game nyingine siyo za kubishana kabisa mm toka mwanzo nilijua miujiza itakuwa hamna ,ukicheki game 5 za Villa za mwishoni kwa kweli hawakuwa na ubabe mbele ya Arsenal.....
My fav quotes of all time :
"You know, I think boring is 10 years without a title. That's very boring," Mourinho said.
"You support the club and you're waiting, waiting, waiting for so many years without a Premier League title, so that's very boring".
Hahaha Mourinho atakuwa alifeli mtihani wa hesabu chekechea. Tulikwenda miaka 9 bila kubeba kombe lolote sio 10.
DonDonald Welbeck alifanya jambo jema kuhama timu isiyo na uwezo wa kubeba kombe.
Labda kajumuisha na msimu unaokuja .. ana uhakika ubingwa utarudi nyumbani baada ya kukosea njia kwa miaka 2 lol
Ukitaka kujua future ya Manchester United angalia Liverpool.
Msimu ujao kwenye dirisha la usajili la January Welbeck atakuwa anacheza timu moja na Yaya Sanogo na Chamakh ndani ya Crytstal Palace ... sasa utaona nani atakuwa anajuta
LOL Welbeck anahitaji marekebisho kadhaa ataweza kuwa mzuri kwa Arsenal kuliko alivyokuwa kwa Manchester United: hopeful Keyword
Kiukweli kijana anajituma sana , anakuwa anawapeleka mabeki mchaka mchaka... Man Utd sijui kwanini walimuuza kwa bei ile ukichukulia wachezaji wa kingereza unauziwa hela nyingi
Ebana ulisema utakwenda kulicheki chama la old traford summer?
Siwezi wanacheza West Coast/ Midwest mwaka huu. Najaribu kuweka mipango nikawaone Chelsea wakija Maryland/Washington DC.
DonDonald Welbeck alifanya jambo jema kuhama timu isiyo na uwezo wa kubeba kombe.
Vidic's final game at Old Trafford when he paused his speech when the Stretford End were singing his song.
![]()