everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Sasa km Mimi napata hiyo 30 tu kwa mwezi ntaweza kuitoa kwa MTU?!?! Si ntakufa njaa mke!?!!:what:
Malizia mke...... Lol
Sasa km Mimi napata hiyo 30 tu kwa mwezi ntaweza kuitoa kwa MTU?!?! Si ntakufa njaa mke!?!!:what:
Malizia mke...... Lol
hahahahahhahaaaa aleyn huu sasa uchokozi
Hii ndiyo Misuse of resources
Siyo misuses yaani hiyo ndo matumizi yenyewe ya pesa........ #Haters mutuache tupumzike timu ilikuwa inajengwa katika kujenga gharama hazikwepeki kuna gharama za juu na za chini kabisa kulingana na market uliyoenda na speed uliyokuwa unaenda nayo BTW mliokuwa na uses nzuri mmechukua kombe na mmemalizaje???????........ Mutuache tupumzike