Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,266
We Ab-Tichaz na mwenzako Peasant mlikuwa wapi wakati mnachezea kichapo kutoka wa dippers? anyhow kwa jinsi tulivyocheza leo tulideserve kufungwa 3-0 lakini kwa kuwa we are Manchester United we never die and I am happy with the point and kudos kwa timu kwa fighting spirit in the last 10 minutes only if we played like that throughout the game.
..khaaa!!!..na weye mtani wangu leo ulikua wapi hii gemu yote?...Manda peke yake ndiye alikua hapa jamvini tukimpiga tafu maana alikua keshaanza kuwatusi wachezaji wa Man U... wengine m'mejitokeza baada ya gemu kuishia draw...tumbo joto!!!...LOL!
..afu pia una kauzalendo flani...eti 'we never die'....mmmhhh???
Leo mumeponea sio siri. Kuna goli mbili za wazi jamaa wamepiga mwamba...ndo hapo nilitaka kuamini mna kamati ya ufundi
kutoka sumbawanga.