Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

<p>&lt;p&gt;
Dakika tano za majeruhi ni nyingi mno!...Hapa ndipo Man U unajua wanabebwa!...&lt;img src=&quot;/images/styles/JamiiForums/smilies/A S angry.gif&quot; border=&quot;0&quot; alt=&quot;&quot; title=&quot;A S Angry&quot; smilieid=&quot;105&quot; class=&quot;inlineimg&quot; /&gt;
&lt;/p&gt;</p>
<p>&lt;p&gt;&amp;nbsp;&lt;/p&gt;</p>
<p>umeanza na ww kwn villa hzo dk villa hawachezz?</p>
 
Wanabahati sana hawa wajinga, leo walikuwa wanalowekwa...araaaa!
 
Duh mganga wenu kweli kiboko, maana mechi ya leo sijui sare imetokea wapi? mumecheza kiwango cha chini kabisa na bado haikuwa tosha kwa Villa kuwabanjua?
 
Wanabahati sana hawa wajinga, leo walikuwa wanalowekwa...araaaa!
Kwanini Ashley Young kapigwa yellow kwa kushangilia bao na mashabiki, lakini Vidic akupewa yellow kwa kitendo sawa na cha Young??!!
 
Punguzen maswal wapinzani...ushnd n ushnd tu, amna ushind haramu bana, ayo maswal mengne refa anapaswa kujibu.....wat mataz n one point bana. nyie kesho mnaloooo!
 
Kwanini Ashley Young kapigwa yellow kwa kushangilia bao na mashabiki, lakini Vidic akupewa yellow kwa kitendo sawa na cha Young??!!
Mkuu kwani hujui kwamba Fergie ndio mtume wa makocha na marefarii wote wale wazawa wa Kingdom? kuanzia akina Big Sam, Hodgson, Holloway,Bruce etc, marefa Clattenburg, Halsey,Mike Dean etc wote hawa wanamlamba nyayo Fergie.
Angalia leo Wes Brown kwenye ile penalti alitakiwa apewe kadi nyekundu kwa vile ni mtu wa mwisho, Vidic naye alikuwa aende nje kwa 2nd yellow card kwa kushangilia na wapenzi lakini Mike Dean aliogopa kumpeleka nje mchezaji yoyote yule wa Utd kwa kumhofia Sir Alex.
 
Mkuu kwani hujui kwamba Fergie ndio mtume wa makocha na marefarii wote wale wazawa wa Kingdom? kuanzia akina Big Sam, Hodgson, Holloway,Bruce etc, marefa Clattenburg, Halsey,Mike Dean etc wote hawa wanamlamba nyayo Fergie.
Angalia leo Wes Brown kwenye ile penalti alitakiwa apewe kadi nyekundu kwa vile ni mtu wa mwisho, Vidic naye alikuwa aende nje kwa 2nd yellow card kwa kushangilia na wapenzi lakini Mike Dean aliogopa kumpeleka nje mchezaji yoyote yule wa Utd kwa kumhofia Sir Alex.
Spot-on!
 
We Ab-Tichaz na mwenzako Peasant mlikuwa wapi wakati mnachezea kichapo kutoka wa dippers? anyhow kwa jinsi tulivyocheza leo tulideserve kufungwa 3-0 lakini kwa kuwa we are Manchester United we never die and I am happy with the point and kudos kwa timu kwa fighting spirit in the last 10 minutes only if we played like that throughout the game.

Hii timu ni kama ya mwaka 2005 sema hii ni mbovu zaidi wengine watasema virus na injuries lakini we are under performing na tusipoamka we might as well give Chelsea the championship. Lakini kama nilivyosema out of form Manchester United iko nyuma ya in form Chelsea point tatu hehehhe gotta love my team for real.
 
Manutd yabidi ijirekebishe juu ya hizi sare haswa mechi za ugenini vinginevyo ubingwa watausikia kwenye bomba...............
 
MANUsplash2_1163854a.jpg



Naona bado Rio anamuwaza Tevez ..... ...
 
Hivi kama Manure kila siku twabebwa na nyie mwalitambua hilo, asa y kila uchwao mwalalamika wajameni?, tulieni basi tuchakachue mechi hzo thn.
 
Hivi kama Manure kila siku twabebwa na nyie mwalitambua hilo, asa y kila uchwao mwalalamika wajameni?, tulieni basi tuchakachue mechi hzo thn.

Hahaha mkuu umenichekesha sana, unajua hakuna siku ambayo Man Utd imeshinda ama imetoka nyuma na kupata draw bila kuwepo na manung'uniko ebo get over it, kila timu inapata favors inategemea unatumiaje hizo favors.
 
Hahaha mkuu umenichekesha sana, unajua hakuna siku ambayo Man Utd imeshinda ama imetoka nyuma na kupata draw bila kuwepo na manung'uniko ebo get over it, kila timu inapata favors inategemea unatumiaje hizo favors.

Wacha (eni) uongo Manure hawakubebwa leo ingawa mpira wao dakika 80 ulikuwa sawa na chandimu.
 
Maneno hayo mwambie kweli na peasant maana ndio waliosema tumependelewa.

Sijasema mmebebwa, nilichouliza ni kwanini refa hakumpa kadi Vidic lakini akampa kadi Young kwa kosa linalofanana?! Labda wewe unaweza kueleza ni kwanini?
 
Maneno hayo mwambie kweli na peasant maana ndio waliosema tumependelewa.


Panic button hiyo khe khe khe ... .... ..... hamkubebwa, mkibebwa huwa tunasema. Villa walifanya makosa walimwacha Nani free walipofanya sub zao na lile toto tundu mnaliita macheda lina shoot utafikiri halijaona mpira kama miezi saba hivi. mmeponea chupu chupu.

Hao Chelsick tumewaacha siku hizi kwa matusi ndio wenyewe yaani wakifunga tabu wakifungwa tabu tafrani tupu. Nimewaweka kolokoloni siku hizi wala siwaoni.
 
Back
Top Bottom